The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Kwamba na mimi ndoto yangu juu ya Husninyo??hadi weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee............
Kwamba na mimi ndoto yangu juu ya Husninyo??hadi weweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee............
Samahani boss, leo tanesco walitukumbuka bana, wakauchukua umeme wao...ukinionea TF nisaidie kumwambia afungue sredi na heading iwe 'mgao wa umeme umerudi?' pole swahiba kwa kuchafuliwa CV!..body guard ulikuwa wapi watu wanachafua cv huku.lol
Usijali tutatumia ile mishumaa uliyochukua jana kwenye sherehe itatosha kutusukuma mwezi huu woteSamahani boss, leo tanesco walitukumbuka bana, wakauchukua umeme wao...ukinionea TF nisaidie kumwambia afungue sredi na heading iwe 'mgao wa umeme umerudi?' pole swahiba kwa kuchafuliwa CV!..
Hehehe!! Ankal banaThere are currently 13 users browsing this thread. (7 members and 6 guests)
Mimi na kwa niaba ya waifu wangu na mjombaangu alonipatia mtaji wa kuanzishia biashara ya kuziba masufuria , tunapenda kumshukuru mod INNOVATOR kwa kuhuzuria kwenye hii thread. Ubarikiwe sana mod wetu
Kwamba na mimi ndoto yangu juu ya Husninyo??
Samahani boss, leo tanesco walitukumbuka bana, wakauchukua umeme wao...ukinionea TF nisaidie kumwambia afungue sredi na heading iwe 'mgao wa umeme umerudi?' pole swahiba kwa kuchafuliwa CV!..
Lol...afu nahisi watakuwa wameusoma ule uzushi wako ati nimeiba mishumaa, nisafishe bana.. Si umemuona Inoveta yupo huku ndani?..ntareport abuse sasahivi. Angalia mdahalo wa umeme star tv live unaendelea..Usijali tutatumia ile mishumaa uliyochukua jana kwenye sherehe itatosha kutusukuma mwezi huu wote
Jaman ninatatizo la kumfuatilia mdada anayeitwa HUSNINYO! Hasa kwenye coments zake,huyu mdada huwa anakuwaga na majibu yake ya kiaina yaan shortcut,mm huwa najiuliza huyu mdada ana mume au boyfriend kwn kimtazamo ni mwnmke anayependa ligi flan ktk mambo yake! Sasa ndio najiuliza huyu dada anaweza kuishi na mr or boyfrnd? Ni hayo tu![/QU nataman siku moja tungeweka picha zetu za ukwel halaf kama hiz ndoa zenu za jf hazivunjik mara moja
Jaman ninatatizo la kumfuatilia mdada anayeitwa HUSNINYO! Hasa kwenye coments zake,huyu mdada huwa anakuwaga na majibu yake ya kiaina yaan shortcut,mm huwa najiuliza huyu mdada ana mume au boyfriend kwn kimtazamo ni mwnmke anayependa ligi flan ktk mambo yake! Sasa ndio najiuliza huyu dada anaweza kuishi na mr or boyfrnd? Ni hayo tu![/QU nataman siku moja tungeweka picha zetu za ukwel halaf kama hiz ndoa zenu za jf hazivunjik mara moja
Mimi nimejitoa kwa mdada huyu!
Husny' umejaribu kuchek ile kitu Chana bateta?
duh,kumbe husninyo ni dume?
sikuwahi dhania
Bila rushwa haupati signecha. nazani chumba cha rushwa unakijua?nyie watu mwanchekesha!!
Ngoja niongee na klorokwin aniazime signature yake.
Bila rushwa haupati signecha. nazani chumba cha rushwa unakijua?
do ze needful