Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,193
Hahahahahah lol! umeambiwa majibu yako mafupi hahahahah lol! Hebu refusha basi japo kidogo tu Huyu jamaa hata miezi miwili hajamaliza hapa jamvini lakini kishakusoma kiasi cha kukuanzishia uzi!!! labda alikuwa anafuatilia jumbe zako siku nyingi lol! Mie nakuona uko poa kabisa umetulia kama maji ya mtungini usibadilishe hiyo style yako ya uandishi.
yaani BAK hii topic nafikiri ni zaidi ya style ya kuandika kwangu. Nway, perception zinatofautiana.