Jamani nakufa mwenzenu kwa stress

Jamani nakufa mwenzenu kwa stress

Nini cha kufanya pale utakapojikuta katika relationship na mtu ambaye umeona hakufai na mahari ameshakulipia?

Tangu lini mahari yakaoa? Usione soo sema nae/nao.......................Ila pia mada ipo kiutata utata yaani uwe kwenye relationship ........ na mtu umeona hakufai
 
Nini cha kufanya pale utakapojikuta katika relationship na mtu ambaye umeona hakufai na mahari ameshakulipia?

Utajikuta vipi kwani rafiki hushuka kama mvua? rafiki huchaguliwa na kama umemchagua rafiki baadaye ukamwona hafai hilo ni tatizo lako na hakuna shule yoyote unayoweza kukusaidia wewe kuchagua rafiki. Kama ni stress ume ji-stress mwenyewe kwa kushindwa kufanya right choice
 
kuwe na sababu za msingi zinazopelekea umuache au akuache pengine kwa mf.familia ile ni wachawi sababu hizi zinaweza kujenga mazingira ya wazee kukubali hoja yako ,pengine hukufikishi kileleni hilo ni tatizo lenu wawili halihusu wazee wakae wajadili ,mtakaa wenyewe mlitatue tatizo mahari hairudi
 
Maamuzi magumu sana hapo,ilikuwaje ukakubali hadi mahari ikapelekwa?maamuzi kama hayo kumbuka yakuleta shida wewe binafsi,jamaa zako wa karibu na hasa wazazi wako au walezi wangu pamoja na na rafiki hivyo hivyo..Jua hadi kutoa mahari watu walikwisha anza kupiga vigelegele mda mwingi..na kwa kijana hivyo hivyo anaweza kujiona hafai na itampunguzia uwezo wake wa kujiamini na mengine mengi.na itamchukua mda mrefu kujipanga tena au asije kuoa tena maisha yake yote..

Fikilia mara nyingi zaidi kuliko kuamka ukatoa maamuzi ambayo hata na wewe binafsi unaweza kuumia zaidi.

Tafiti nyingi duniani zinaonyesha mabinti wengi wakisha chumbiwa na kisha uchumba ukavunjika basi ni ngumu sana kuweza kuchumbiwa tena na hata yule atakayekuwa anamwamini atamchumbia naye atakimbia..kuwa makini inaweza usije kuolewa tena maisha yako.kile unachomfanyia mwenzio ndicho nacho na wewe utafanyiwa.
 
unamchiti makusudi ili akupige chini...

mbona rahisi sana unawatangazia wazazi humtaki tena huyu mwanaume kwani anakuombaga 0713...... hahahah ushammaliza
 
Waambie wazazi wako kuhusu uamuzi huo watamuita mshenga na kumueleza uamuzi wako. Taratibu za kurudisha mahari zitapangwa.
 
Hakuna perfect Man kwenye ulimwengu huu,kama hiko kitu kinachokurudisha nyuma kinafaa kusuluhisha fanya ivyo,,usije ukaruka majivu ukakanyaga moto,,

Details details dada!
As simple as you have presented, unavunja uchumba na kurudisha mahari! au
Unaendelea na ndoa na 1: Kulive miserable
2: Kuhope na kupray kuwa atabadilika siku moja

Maamuzi magumu sana hapo,ilikuwaje ukakubali hadi mahari ikapelekwa?maamuzi kama hayo kumbuka yakuleta shida wewe binafsi,jamaa zako wa karibu na hasa wazazi wako au walezi wangu pamoja na na rafiki hivyo hivyo..Jua hadi kutoa mahari watu walikwisha anza kupiga vigelegele mda mwingi..na kwa kijana hivyo hivyo anaweza kujiona hafai na itampunguzia uwezo wake wa kujiamini na mengine mengi.na itamchukua mda mrefu kujipanga tena au asije kuoa tena maisha yake yote..

Fikilia mara nyingi zaidi kuliko kuamka ukatoa maamuzi ambayo hata na wewe binafsi unaweza kuumia zaidi.

Tafiti nyingi duniani zinaonyesha mabinti wengi wakisha chumbiwa na kisha uchumba ukavunjika basi ni ngumu sana kuweza kuchumbiwa tena na hata yule atakayekuwa anamwamini atamchumbia naye atakimbia..kuwa makini inaweza usije kuolewa tena maisha yako.kile unachomfanyia mwenzio ndicho nacho na wewe utafanyiwa.

"We feel free when we escape even it be but from the frying pan to the fire" Eric Hoffer
 
mbona rahisi sana unawatangazia wazazi humtaki tena huyu mwanaume kwani anakuombaga 0713...... hahahah ushammaliza

Hahaha...
Ila mizazi mingine sio mizazi, mibazazi... kama alitoa mahari ndefu wanakwambia siumpe? Mbona mavi yanapitaga apo kila siku...
 
Hahaha...
Ila mizazi mingine sio mizazi, mibazazi... kama alitoa mahari ndefu wanakwambia siumpe? Mbona mavi yanapitaga apo kila siku...

kha mimi simoooooooooo
 
Nini cha kufanya pale utakapojikuta katika relationship na mtu ambaye umeona hakufai na mahari ameshakulipia?

JIBU rahisi kwa SWALI lako rahisi ni RUDISHA mahari yote bila kupungua hata punje...endelea na maisha.
.....Mahari sio ndoa.....
 
tengua tu before hujajitia kitanzini ukikosa sababu waambie una mimba only that na hutaki mpa mzigo ambao c wake, japo uonyeshe concern kwamba bahati mbaya acjali atapata asiyemcheat


kama unahakika si udhaifu wa kibinadamu, ambao hata wewe usingewezafanya basi tengua huo uchumba. lakini upande wa pili unaweza mwacha halafu usijepata wa kuolewa nae, yamkini umempata kijana mwingine kakudanganya au unadhani ni bora kuliko huyo. sasa na huyo akikuacha utakosa vyote na nimeshuhudia wengi wakidanganywa na baada ya kuvua nguo tu kijana anasepa. hivyo kuwa makini na maamuzi yako leo.
 
Hahaha...
Ila mizazi mingine sio mizazi, mibazazi... kama alitoa mahari ndefu wanakwambia siumpe? Mbona mavi yanapitaga apo kila siku...

Ha ha ha haaaaaaaaaa! Tuko hufai!
 
Last edited by a moderator:
Nini cha kufanya pale utakapojikuta katika relationship na mtu ambaye umeona hakufai na mahari ameshakulipia?


Sasa ilikuwaje ukaruhusu mwenzio hadi aje kutoa mahari kama ulikuwa hauko na uhakika nae ? be careful maana ukivunja uchumba ujue mwenzio lazima ataumia na wewe jiandae kuumia mbeleni maana ni bora ungemkataa toka mwanzo kabla hajatoa mahari ukamueleza kweli yote maana hapa umedhalilisha mpaka kwao watamuonaje eti mchumba kamkataa?
 
Kama umeamua kwamba humtaki kabisa kabisa na una uhakika na hilo inabidi ujitoe tu. Usiendelee kumpotezea mwenzako muda akiamini mko pamoja kumbe HAKUNAGA.
 
Tueleze sababu za kwa nini hakufai ili tuelewe kwani unaweza kukuta wewe ndio humfai!

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums


Yaani nikiona hiyo Bold hapo INANIKERAAAAAAAAAA sijui kwanini! Afu nainotice kwenye quote zako tu!!!! (Im just getting started with you!)
 
dawa ni kumpiga chini, wambie wazee warudishe mbuzi ma kuku za watu!
 
Back
Top Bottom