Jamani nakufa mwenzenu kwa stress

Jamani nakufa mwenzenu kwa stress

Pole mwaya, achana naye huyo hakufai.... kwani mahari kitu gani? Mi nshavunja uchumba kwa sababu hizi hizi za kipuuzi, ukizingatia labda humfeel kiviiile...
 
duuuuh....jamaa wa watu maskini....kashajua anaoa kumbe hajapendwa.
 
Kizaizai na Tuko mmenivunja mbavu zangu leo..Hilo sio limume litakuwa ni Jimume

Mi dada yangu akiolewa na mtu kama huyo atanichumia dhambi bure. Maana lazima niende kwa mganga nikamloge...
 
tunataka kufahamu zaid , hakufai kivipi? tabia mbaya au mbaya wa sura?
 
Back
Top Bottom