Zamazamani
JF-Expert Member
- Jun 13, 2008
- 1,903
- 828
Mpaka umepokea Mahari hakujua Kama anakufaa au hakufai?weka wazi matatizo yake tukushauri
Nini cha kufanya pale utakapojikuta katika relationship na mtu ambaye umeona hakufai na mahari ameshakulipia?
Mwanangu kama kuua nyoka basi umegonga kwenye kichwa.jiandalie fumanizi muite na ndugu zake waje washuhudie
Mwanangu kama kuua nyoka basi umegonga kwenye kichwa.
Unamchiti makusudi ili akupige chini...
Unamchiti makusudi ili akupige chini...
mbona rahisi sana unawatangazia wazazi humtaki tena huyu mwanaume kwani anakuombaga 0713...... hahahah ushammaliza
Anakuonya, Anakusamehe halafu anakuomba mpange zaidi mipango ya harusi yenu.
Anakuonya, Anakusamehe halafu anakuomba mpange zaidi mipango ya harusi yenu.
anakukuta chooni na bestman unamchit tena,,,siku ya send off hivi
Akikusamehe leo kesho yake unamchiti tena... na umpendae lakini
Ndio anasikitika kidogo anakusamehe anazidi kukupenda anakwambia kilakitu kimeshakamilika, amesha tuma nauli kwa ndugu zake na wako waje kwenye harusi yenu.
[FONT=century
gothic]Nini cha kufanya pale utakapojikuta katika[/FONT]
relationship na mtu ambaye umeona hakufai na mahari
ameshakulipia?