Jamani naenda kufumania

Jamani naenda kufumania

mimi49 umbea at work......mashushushu wameshatupa direction ya gest waliopo

ni maeneo ya Sinza jina la guest kapuni hadi tukifika eneo la tukio
 
Last edited by a moderator:
tena huyo wa kwako ana nafuu anatafunwa na huyo profesale wake zetu wengi ni hovyo tena wanagegedwa hovyo na watu wa hovyo madereva taxi mafundi ujenzi amini mostly, wana wanaume 5~7 amin what am talking
 
Kama ni mwanachama hapa umeshamstua, hivyo hutaambulia lolote katika fumanizi lako. Pia badala ya wewe kutoa hiyo talaka unaweza kukuta ameshakuandalia uamuzi wake wa kutotaka kuendelea kuwemo kwenye ndoa. Kila la heri katika fumanizi lako.
 
mi nakushauri uende ukiwa na maamuzi yako tayari... asije akasema hakutaki tena, ye anampenda mhadhiri ukaanza wewe kuomba msamaha kwa uliyemfumania. je una uhakila na maamuzi yako?kama bado unampenda sana usiende kufumania
 
mpige kibuti kidigitali,mtumie picha whatsapp..au facebook..afu mwambie itx ova..don cm bk agn
 
ITAFUTENI KWELI NA HIYO KWELI ITAWAWEKA HURU. Unalotaka kufanya ni jambo zuri kwani msingi wa maamuzi ni taarifa, ukiwa na taarifa sahihi waweza fanya maamuzi sahihi.
 
tena huyo wa kwako ana nafuu anatafunwa na huyo profesale wake zetu wengi ni hovyo tena wanagegedwa hovyo na watu wa hovyo madereva taxi mafundi ujenzi amini mostly, wana wanaume 5~7 amin what am talking
Na siku hizi madereva wa bodaboda ndio hatari zaidi.
 
Usisahau kuweka picha za ushahidi hapa.

Place needs some drama already.

Kiranga akisema haoi ng'o mtamshangaa?
 
Ndg unaMOYO wakuhimili kumuona MKEO akiwa amekunjwa km KAMBALE kisha anatumbukizwa NYOKA tartiiibuu kisha unackia sauti yake akifurahia hiyo kitu! Achana nahiyo mambo ndg utakuja ufe kwa Pressure! Chakufanya mwambie wyf wako kuwa unajua michakato yake so akwambie 7bu yakutafunwa na laPROFESERI ukilidhika na 7bu zake songesha lyf km hajakushawishi mwaganeni hapo hapo! Chamuhimu tambua wanawake kwenye mapenzi % kubwa wanamaanisha akishakutoa MOYONI hata ufanyeje anakuona Bwege2! kila la heri kamanda!
 
Common Law ya Mwingereza, ambayo tuliirithi, inasema ukimkuta mke wako live, kwa mfano, anabanwa mbavu na mtu, ukampiga jamaa au mkeo na kitu chenye ncha kali akafa, unayo "heat of passion defense" mahakamani.

Sasa, sina hakika kama bado tunacho hiki kipengele, fanya homework hapo kidogo halafu nenda ukiwa gado.
 
Wakati mwingine ni bora ujikalie tu huku ukifanya shughuli zako za maendeleo. Hiyo biashara ya kupekuapekua ili uione miguu ya nyoka haina faida kwako muzee!
kwahiyo asubiri wife amletee ukimwi na huku akiendelea kumfinance chuo na huku mwanaume akiendelea kumla...
una ushauri wa giza unaniudhi kinyama...au hii dunia ya sasa huioni? %&^%*&(%^*(%(%( sana....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom