Jamani naenda kufumania

Jamani naenda kufumania

Wadau..kwa muda sasa hatuelewani na mke wangu wa ndoa. Kila nikiwasiliana nae...anakua kama hapendi hivi. So nikaamua kuweka mashushu wamfuatilie kwani chuo anachosoma mimi pia niliwahi kusomea huko...so ninafahamu mazingira ya huko. Mrejesho wa taarifa za mashushu hao. .kila mmoja kwa wakati wake. ..wakanitumia picha na kunihakikishia kua mke wangu anagegedwa na mhadhiri wa chuo hicho. Na sometimes huyo mhadhiri hua anaenda kulala nae kwenye chumba nilichompangishia.

Nataka nikawafumanie....nipate uhakika zaidi.

Maoni na ushauri tafadhali

Hujui kuwa na yeye ni member humu? Umeshauza deal!
 
Hahahahaaaa!
Hamnaa! ile nimegundua haijengi pia haileti umoja!
Hata shosti wako (Hvn n E)hakuifurahia! Hahahaaaa!
Labda unidadavulie vizuri udhaifu wa hii bila kufikiria kumlenga mtu!
Mmwee! Unanituhumu bureeee!
Unamaanisha kinyume Mashaxizo lol
 
Last edited by a moderator:
Wadau..kwa muda sasa hatuelewani na mke wangu wa ndoa. Kila nikiwasiliana nae...anakua kama hapendi hivi. So nikaamua kuweka mashushu wamfuatilie kwani chuo anachosoma mimi pia niliwahi kusomea huko...so ninafahamu mazingira ya huko. Mrejesho wa taarifa za mashushu hao. .kila mmoja kwa wakati wake. ..wakanitumia picha na kunihakikishia kua mke wangu anagegedwa na mhadhiri wa chuo hicho. Na sometimes huyo mhadhiri hua anaenda kulala nae kwenye chumba nilichompangishia.


Nataka nikawafumanie....nipate uhakika zaidi.

Maoni na ushauri tafadhali

Nenda.
 
Hahaha kama kaja kutueleza anaenda basi atupe na updates basi...wengine hatujawahi ona fumanizi linalorushwa live...

Nahisi jamaa anaweza akaanza kulia mayowe mtaa mzima, mama fulani ndo unanifanyia nini? Kisha kumuomba msamaha mke wake kwa kumfumania.
 
hakuna kesi wala usiogope...ni kama kusoma gazeti tu vile...

hahaha! Loh ! Emu nilale miye mwambie aweke na youtube video kabisaa ili tufaidi vzuri!! Daah!! Ucku mwema banaaa!!
 
Juzi kati hapa kuna mtu alileta uzi kuwa kuna jamaa yake alienda kumsuprise mkewe kilichotokea huko ni balaa,we nenda kama unaweza kuvumilia matokeo yake!!
 
Thubutu!! hata huo muda wa kuanzisha thread usingeupata.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom