Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
We kwani unaona vipi itakuwa fair?ammwagie nani ?ama wote wawili?
We kwani unaona vipi itakuwa fair?ammwagie nani ?ama wote wawili?
Eti ile kitu tamtam!!Labda hainogeshi lol...
We kwani unaona vipi itakuwa fair?
Itabidi apewe darasa la kukoleza viungo!atakuwa haweki ndimu na pilipili huyu ! Lect.. Kamkoleza mdada kapagawa loh!
mmmh! Mpambe nuksi!!!
Itabidi apewe darasa la kukoleza viungo!
Wadau..kwa muda sasa hatuelewani na mke wangu wa ndoa. Kila nikiwasiliana nae...anakua kama hapendi hivi. So nikaamua kuweka mashushu wamfuatilie kwani chuo anachosoma mimi pia niliwahi kusomea huko...so ninafahamu mazingira ya huko. Mrejesho wa taarifa za mashushu hao. .kila mmoja kwa wakati wake. ..wakanitumia picha na kunihakikishia kua mke wangu anagegedwa na mhadhiri wa chuo hicho. Na sometimes huyo mhadhiri hua anaenda kulala nae kwenye chumba nilichompangishia.
Nataka nikawafumanie....nipate uhakika zaidi.
Maoni na ushauri tafadhali
we hutaki kuona picha za fumanizi?
Unamaanisha kinyume Mashaxizo lolHahahahaaaa!
Hamnaa! ile nimegundua haijengi pia haileti umoja!
Hata shosti wako (Hvn n E)hakuifurahia! Hahahaaaa!
Labda unidadavulie vizuri udhaifu wa hii bila kufikiria kumlenga mtu!
Mmwee! Unanituhumu bureeee!
Wadau..kwa muda sasa hatuelewani na mke wangu wa ndoa. Kila nikiwasiliana nae...anakua kama hapendi hivi. So nikaamua kuweka mashushu wamfuatilie kwani chuo anachosoma mimi pia niliwahi kusomea huko...so ninafahamu mazingira ya huko. Mrejesho wa taarifa za mashushu hao. .kila mmoja kwa wakati wake. ..wakanitumia picha na kunihakikishia kua mke wangu anagegedwa na mhadhiri wa chuo hicho. Na sometimes huyo mhadhiri hua anaenda kulala nae kwenye chumba nilichompangishia.
Nataka nikawafumanie....nipate uhakika zaidi.
Maoni na ushauri tafadhali
ctaki ushahidi!!!
Hahaha kama kaja kutueleza anaenda basi atupe na updates basi...wengine hatujawahi ona fumanizi linalorushwa live...
hakuna kesi wala usiogope...ni kama kusoma gazeti tu vile...
Hahaha kama kaja kutueleza anaenda basi atupe na updates basi...wengine hatujawahi ona fumanizi linalorushwa live...
Na we mpambe Heaven on earth?