Halafu unaweza ukabaki umetumbua macho jinsi mwenzio alivyokunjwa... wakati mwenye mali unajifanyaga una heshimaaaa... wenzio wanapiga haswaa mpaka anakusahauunadhani kunfumania mwenzi wako anamegwa si kazi rahisi hata
Halafu unaweza ukabaki umetumbua macho jinsi mwenzio alivyokunjwa... wakati mwenye mali unajifanyaga una heshimaaaa... wenzio wanapiga haswaa mpaka anakusahau
Kama atarudi akiwa hai
Wadau..kwa muda sasa
hatuelewani na mke wangu wa ndoa. Kila nikiwasiliana nae...anakua kama
hapendi hivi. So nikaamua kuweka mashushu wamfuatilie kwani chuo
anachosoma mimi pia niliwahi kusomea huko...so ninafahamu mazingira ya
huko. Mrejesho wa taarifa za mashushu hao. .kila mmoja kwa wakati wake.
..wakanitumia picha na kunihakikishia kua mke wangu anagegedwa na
mhadhiri wa chuo hicho. Na sometimes huyo mhadhiri hua anaenda kulala
nae kwenye chumba nilichompangishia.
Nataka nikawafumanie....nipate uhakika zaidi.
Maoni na ushauri tafadhali
Hivi wewe huwa unalala saa ngapi?
Ndg unaMOYO wakuhimili kumuona MKEO akiwa amekunjwa km KAMBALE kisha anatumbukizwa NYOKA tartiiibuu kisha unackia sauti yake akifurahia hiyo kitu! Achana nahiyo mambo ndg utakuja ufe kwa Pressure! Chakufanya mwambie wyf wako kuwa unajua michakato yake so akwambie 7bu yakutafunwa na laPROFESERI ukilidhika na 7bu zake songesha lyf km hajakushawishi mwaganeni hapo hapo! Chamuhimu tambua wanawake kwenye mapenzi % kubwa wanamaanisha akishakutoa MOYONI hata ufanyeje anakuona Bwege2! kila la heri kamanda!
Usijali, kuna sehemu sipo adimu.... ingawa machoni ni adimuhahaaa bora ukae utu;ie home tu
btw mbona umekuwa adimu machoni kwangu
Dawa ya wanawake akiwa chuo ni kumuweka busy na Mimba degree ya miaka mitatu...Mimba mbili ...Hiyo Ndio ant kupigiwa ....akiingia Mimba ..mwaka wa mwishoo Mimba ...
Ukishamfumania what next?
kaka umetumiwa mpk picha unataka kuona nn tena kisicho riziki hakiliki mkuu acha kulazimisha maji kupanda mlima