Jamani naenda kufumania

Jamani naenda kufumania

Nataka nione kwa macho. Koz hizo nilishamkutanazo zaidi ya mara 3 na akawa anabisha mpaka analia na kutoa makamasi.
 
when u go don't forget to include global publishers
 
upo tayari? tusijekusikia umekufa au umejeruhiwa vibaya nenda na watu kama wawili. nasubiria matokea. kila la kheri
 
...kama hana mpango na wewe mfanye mtaji tu...teh te
 
Nataka nione kwa macho. Koz hizo nilishamkutanazo zaidi ya mara 3 na akawa anabisha mpaka analia na kutoa makamasi.
Sasa wadanganyika na kilio na kamasi kha we vp?we hujui hizo silaha madhubuti za mwanamke!!
 
....wewe hujawahi gegeda nje tangu mwe kwenye ndoa? endapo ulisha gegeda na hakukufumania basi mwache ajinafasi ili ajifunze mautundu zaidi
 
Wadau..kwa muda sasa hatuelewani na mke wangu wa ndoa. Kila nikiwasiliana nae...anakua kama hapendi hivi. So nikaamua kuweka mashushu wamfuatilie kwani chuo anachosoma mimi pia niliwahi kusomea huko...so ninafahamu mazingira ya huko. Mrejesho wa taarifa za mashushu hao. .kila mmoja kwa wakati wake. ..wakanitumia picha na kunihakikishia kua mke wangu anagegedwa na mhadhiri wa chuo hicho. Na sometimes huyo mhadhiri hua anaenda kulala nae kwenye chumba nilichompangishia.


Nataka nikawafumanie....nipate uhakika zaidi.

Maoni na ushauri tafadhali

kama umegundua una mzidi ubavu huyo mhadhiri ruksa go on,vinginevyo sio uende huko mkeo wamtafune na wewe kipigo ukipate
 
Hawa mashushu ni ndugu zangu...na rafiki ambao tunafahamiana sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom