Waniangusha hivooo...Hahaha kama kaja kutueleza anaenda basi atupe na updates basi...wengine hatujawahi ona fumanizi linalorushwa live...
Poa..nitaweka picha
We ushajua uzinzi wake muache tu hutanufaika na chochote ukimfumania unataka ujipe donda la roho na maumivu ya ziada,maana itakuwia vigumu sana kwako kuifuta ile taswira utakayoiona huko!!Mpe talaka zake tatu kwishnei!!Muda mzuri wa kufumania ni saa ngapi?..na siku gani ya week?
Waniangusha hivooo...
jamani hz ndoa mbona huko kunatisha akutamaniki. pole.
Hebu mpe ushauri huyu mkaka acha udaku bana....Hahaha pole...
ilibeba ujumbe mzuri...na inafundisha..hii ya sasa kama una mlenga mtu fulani!!
nenda utupe mrejesho,ila usifanye fujo wewe chukua nguo zao wote kisha ondoka,zipige picha ziweke hapa kama ushahidi kweli umefumania!!!
Ukienda huko usisite kurejea hapa na kutupa mrejesho...kwa msisitizo utupiemo na picha mbili tatu...
Nipo tayari kumuacha kwa point hizi
1. Uzinzi
2. Makelele
3. Unafki
4. Uchoyo- changu chake...cha kwake cha kwake
5. Uongo
Upate uhakika wa vipi sasa na mpaka vithibitisho umeletwa?
Hebu mpe ushauri huyu mkaka acha udaku bana....
Muda mzuri wa kufumania ni saa ngapi?..na siku gani ya week?
Mke wa ndoa. Tena kanisani kabisa
Eti ile kitu tamtam!!Labda hainogeshi lol...tamaa tu huyo! au mkuu huendagi kumpa ile kitu tamtam?