Power G
JF-Expert Member
- Apr 20, 2011
- 3,884
- 1,200
Hili unalotaka kufanya la kufumania, "una kifua lakini"? Angalia isije ikakuletea madhara zaidi maana kufumania yataka moyo.Mke wa ndoa. Tena kanisani kabisa
Hili unalotaka kufanya la kufumania, "una kifua lakini"? Angalia isije ikakuletea madhara zaidi maana kufumania yataka moyo.Mke wa ndoa. Tena kanisani kabisa
Naachana na huyo mwanamke. Thats all
hebu nipe update kwanza!!Naona ulilalia hapahapa!!
kwahiyo asubiri wife amletee ukimwi na huku akiendelea kumfinance chuo na huku mwanaume akiendelea kumla...
una ushauri wa giza unaniudhi kinyama...au hii dunia ya sasa huioni? %&^%*&(%^*(%(%( sana....
Wadau..kwa muda sasa hatuelewani na mke wangu wa ndoa. Kila nikiwasiliana nae...anakua kama hapendi hivi. So nikaamua kuweka mashushu wamfuatilie kwani chuo anachosoma mimi pia niliwahi kusomea huko...so ninafahamu mazingira ya huko. Mrejesho wa taarifa za mashushu hao. .kila mmoja kwa wakati wake. ..wakanitumia picha na kunihakikishia kua mke wangu anagegedwa na mhadhiri wa chuo hicho. Na sometimes huyo mhadhiri hua anaenda kulala nae kwenye chumba nilichompangishia.
Nataka nikawafumanie....nipate uhakika zaidi.
Maoni na ushauri tafadhali
Ataanzaje kubanduka nae ksema anahitaji picha za tukio
r u straight.....?OK, wewe mshauri ama amfungie mkewe ndani asitoke kabisa au aache shughuli anazofanya awe na mke wake saa zote. Hayo mawazo yako "ya mwanga" ni ya kitoto. Ama mtu anamwamini mke/mume wake - which means it doesn't warrant making investigative follow-ups to prove "analiwa au haliwi"- au hamwamini - which means hana sababu ya kuishi nae PERIOD!
Wadau..kwa muda sasa hatuelewani na mke wangu wa ndoa. Kila nikiwasiliana nae...anakua kama hapendi hivi. So nikaamua kuweka mashushu wamfuatilie kwani chuo anachosoma mimi pia niliwahi kusomea huko...so ninafahamu mazingira ya huko. Mrejesho wa taarifa za mashushu hao. .kila mmoja kwa wakati wake. ..wakanitumia picha na kunihakikishia kua mke wangu anagegedwa na mhadhiri wa chuo hicho. Na sometimes huyo mhadhiri hua anaenda kulala nae kwenye chumba nilichompangishia.
Nataka nikawafumanie....nipate uhakika zaidi.
Maoni na ushauri tafadhali
Hili unalotaka kufanya la kufumania, "una kifua lakini"? Angalia isije ikakuletea madhara zaidi maana kufumania yataka moyo.
Common Law ya Mwingereza, ambayo tuliirithi, inasema ukimkuta mke wako live, kwa mfano, anabanwa mbavu na mtu, ukampiga jamaa au mkeo na kitu chenye ncha kali akafa, unayo "heat of passion defense" mahakamani.
Sasa, sina hakika kama bado tunacho hiki kipengele, fanya homework hapo kidogo halafu nenda ukiwa gado.
Yes am sure. Koz tayari nimemchoka. Hatuna amani zaidi ya mwaka na nusu sasa. Ni makelele tu[/QUO
Kelele za mwaka mmoja tu. suburi utakaye muoa baada ya huyo kama huo mwaka mmoja utafika.