Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,955
- 93,933
Nimepita naelekea brajec kuanza week end!!
Brajec mapema hivi...
Nimepita naelekea brajec kuanza week end!!
Alimwandikia waraka nani wewe?
Hee mimi sikukujua kabisa kumbe alimwandikia telegram idd amin kweli alimzimikia kabisa
Nashangaa kinachomwahisha ni nini au anaenda kunyonyesha mtoto mwache aende watu8
Jamani hooo! Sikujua mwambie anisamehe sikujua km ni mkaka
Acha kumkoti mwenzio wewe watu8
Shemu mambo !brajec,sehemu bomba kwa michemsho,iko opposite na geti la kuingia mlimani city.
brajec,sehemu bomba kwa michemsho,iko opposite na geti la kuingia mlimani city.
Baba nakusalimu! Afu mbona simu ya mama haipatikani? Mwambie vile vitenge nshavituma!hahaha...huyo ni kaka yangu ujue
Acha uongo wewe. Brajec haiko opposite na geti la kuingia Mlimani city. Iliyopo opposite na geti ni DDC Mlimani. Brajec iko mbele kidogo - kabla hujafika Savei kama unatokea Mlimani city unakata kulia halafu unazama ndani kidogo na yenyewe itakuwa kushoto kwako.
Baba nakusalimu! Afu mbona simu ya mama haipatikani? Mwambie vile vitenge nshavituma!