shkamoo dady!!!
DNA lini coz nimechoka
kukataliwa mimi!!!
Sampo imepelekwa kwa mkemia mkuu wa serikali....
Hujambo lakini weye...
mie sijambo
ila mshua unanikosea ujue
basi tu nakubali kusubiri hayo majibu!!
[Ujue sio wanamme wote wananyanyasa wake zao? Ni baadhi tu
Ila sababu unampenda, basi kaa ukijua 'hiari yashinda utumwa'
Ila, umemsamehe sababu umeona haja ya kumsamehe au sababu ya vits?
Mpendwa wangu wala sikukosei, ila majibu ndio yataweka wazi kila kitu...
Nimefurahi kuwatambua watoto wako na Mama yao, wasalimie popote walipo.....uwalete kwangu basi wapafahamu (hapa kwa desktop yangu)
Laaziz wangu aitwa measkron...na ninao mabinti wafuatao WiseLady, charminglady, sweetlady na Passion Lady(Huyu bado sijahakiki DNA) halafu kuna kijana wa hiyari aitwa Davie S.M.
Halafu daddy... huyu Mrembo by Nature mbona anakuuliza uliza hivyo na kutaka kukujua jua saaaana.... mummy measkron umemuona huyu anayemfatilia daddy!!!!!
Tupo sana mamie..... Mie hapa ndo binti wa Mr. watu8, subiri na sis sweetlady atakuja.... Pia yupo Passion Lady naye pia atakuwa utamuaona,,,
aaaaaaaaaahhahaaah Mentor huyu huyu ndo mumeo?
unamjua mentor wewe???
alioa lini!???
manake umesema sio chit chat zso ni maisa ya kweli!
na mume ulikuwa unamtafuta juzi ilikuwaje????
aca kufanya watu mapoyoyo!
hizoi ndoa mnazoziota humu kila siku mngekuwa mnazo kweli basi!
nilikuuliza mapema tunachit chat au??ukasema ni real!kwa ureal upi?????????
WATU MNAOTA SANA MAISHA NA HISIA ZISO ZENU!fekerooooooo kwa kwenda mbele!
cc Mrembo by Nature, cacico gfsonwin Mentor na watu8
nimewapata kwelikweli yaani fikra zenu mnafikiri ndoa tu haaaaaaaaaaaaa kwaaaaa kwaaaaaaaaaaa ni chitchat tu hapa kwa kwenda mbele
Mentor,Nitafutieni na mimi barafu wa Moyo,tusaidiane katika kuteketeza pesa zangu zilizokosa matumizi.
watu8,mkuu mpaka wajukuu unao bwana patia mimi kigoli mmoja.
cc ladyfurahia