Jamani mwenzenu Napendwa, ila

Jamani mwenzenu Napendwa, ila

[Ujue sio wanamme wote wananyanyasa wake zao? Ni baadhi tu

Ila sababu unampenda, basi kaa ukijua 'hiari yashinda utumwa'


Ila, umemsamehe sababu umeona haja ya kumsamehe au sababu ya vits?

Hapo va Vitz hata mimi pamenikoroga. Sasa ladyfurahia, hawa watu wataacha kweli kuendelea kututenda kama 'wakitubabua' na vitz tunasahau yote?
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
lakini weweeeeee haya tu nakuangalia sana nyendo zako unaomba msamaha halafu unaendekeza oky nitavumilia vituko vyako ila sitakupa tena hukuuuu naniiiiiiiiiiiiiiiiiiii
mimisa, nataka kutulia na wewe..unasemaje sasa!??
 
nimewapata kwelikweli yaani fikra zenu mnafikiri ndoa tu haaaaaaaaaaaaa kwaaaaa kwaaaaaaaaaaa ni chitchat tu hapa kwa kwenda mbele
aaaaaaaaaahhahaaah Mentor huyu huyu ndo mumeo?
unamjua mentor wewe???
alioa lini!???
manake umesema sio chit chat zso ni maisa ya kweli!
na mume ulikuwa unamtafuta juzi ilikuwaje????
aca kufanya watu mapoyoyo!
hizoi ndoa mnazoziota humu kila siku mngekuwa mnazo kweli basi!
nilikuuliza mapema tunachit chat au??ukasema ni real!kwa ureal upi?????????
WATU MNAOTA SANA MAISHA NA HISIA ZISO ZENU!fekerooooooo kwa kwenda mbele!
cc Mrembo by Nature, cacico gfsonwin Mentor na watu8
 
Back
Top Bottom