ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,758
- 9,589
- Thread starter
- #41
yani kama ulikuwepo mwana imependezajeee we acha tu
VITZ inahuuuuu
![]()
VITZ inahuuuuu
![]()
aliyekwambia nina mahusiano mengi ni nani naomba tafadhali usiniharibie tena ndoa yangu wakati umeshaharibu au kakutuma unishupalie kooo kama karanga mwana tafadhali nisijekukaangaa bure mzimamzima sina uhusiano wowote na mtu humu mjengoni mm ni mke wamtu na naheshimu ndoa yangu koma mwana naona unanitafuta niongee na huwa sipendi kuongea na watoto wadogo mnaonyonya hasa wewe ntakutandika mikwaju ukija home ole wako ukatize mita ile nitakutwanga naona unanivunjia heshima
wewe!
niliwai kukwambia siku moja!kama uwezi utani unawatania watu ya nini!
U ARE SICK!daaaaamn SICK UPSTAIRS!
hili sitaomba samahani kwa yeyote!
Nishajitoa kwenye SACCOS zenu mapemaaaaaaaaaaaaa, na maradhi haya nani awe SACCOS, kwanza nasikia wewe ladyfurahia una mahusiano meeengi. Kwanza Mentor aatakuwa wa kushindanisha?heri hata angekluwa Erickb52 sawa
aliyekwambia nina mahusiano mengi ni nani naomba tafadhali usiniharibie tena ndoa yangu wakati umeshaharibu au kakutuma unishupalie kooo kama karanga mwana tafadhali nisijekukaangaa bure mzimamzima sina uhusiano wowote na mtu humu mjengoni mm ni mke wamtu na naheshimu ndoa yangu koma mwana naona unanitafuta niongee na huwa sipendi kuongea na watoto wadogo mnaonyonya hasa wewe ntakutandika mikwaju ukija home ole wako ukatize mita ile nitakutwanga naona unanivunjia heshima
wewe!
niliwai kukwambia siku moja!kama uwezi utani unawatania watu ya nini!
U ARE SICK!daaaaamn SICK UPSTAIRS!
hili sitaomba samahani kwa yeyote!
Hapa mbona kama sielewi elewi vile...
kweli Mentor! kama jina lake lilivyo
sio mzima huyu!]Mtani stukaa aisee.... hebu check hapa halafu kimya kimya na useme Aminaaaaa
Nimeshindwa....:mvutaji:
Asipobadilika piga chini
VITZ inahuuuuu
![]()
Nishajitoa kwenye SACCOS zenu mapemaaaaaaaaaaaaa, na maradhi haya nani awe SACCOS, kwanza nasikia wewe ladyfurahia una mahusiano meeengi. Kwanza Mentor aatakuwa wa kushindanisha?heri hata angekluwa Erickb52 sawa
Unaposema tumelionaje hilo inamaanisha lipi! La kuwa serial cheater ama la kukununulia vitz?
Manake kwa serial cheater ili anifurahishe labda tuanzie kwenye fortuner kama sio kanissan patrol!
aliyekwambia nina mahusiano mengi ni nani naomba tafadhali usiniharibie tena ndoa yangu wakati umeshaharibu au kakutuma unishupalie kooo kama karanga mwana tafadhali nisijekukaangaa bure mzimamzima sina uhusiano wowote na mtu humu mjengoni mm ni mke wamtu na naheshimu ndoa yangu koma mwana naona unanitafuta niongee na huwa sipendi kuongea na watoto wadogo mnaonyonya hasa wewe ntakutandika mikwaju ukija home ole wako ukatize mita ile nitakutwanga naona unanivunjia heshima
Mtani stukaa aisee.... hebu check hapa halafu kimya kimya na useme Aminaaaaa
Nimeshindwa....:mvutaji: