Jamani mwenzenu Napendwa, ila

Jamani mwenzenu Napendwa, ila


mwambie kabisa siku tunaenda aboreshe
meza maana mi napenda kula si unajua!!mahanjumati
yawepo ya kutosha!!sisy mambo!!

Mimi aunt yenu, baba yenu ni kaka yangu mtoto wa babu yangu aliyekuwa kaka wa babu yangu mzaa baba.Ungependa nini ili niwaandalie? ila umwambie baba yako na mama yako wasisahau kuniletea zawadi
 
Huyu mtoto balaa, eti kaka yangu watu8 huyu mwanao charminglady mbona anaonekana mchunguzi sana? mwambie basi mimi ni aunt yake.

Sister usiwe na wasiwasi, wanao uliwaacha wakiwa wadogo sasa wamekuwa wakubwa sana na wameolewa.
Wanampenda daddy yao sana ndio maana wanakuwa protective hivyo...
 
Mentor Mentor Metor usimtie pressure huyo mrembo.

Mambo Chocs..habari za Erickb52?


Mentor,Nitafutieni na mimi barafu wa Moyo,tusaidiane katika kuteketeza pesa zangu zilizokosa matumizi.
watu8,mkuu mpaka wajukuu unao bwana patia mimi kigoli mmoja.
cc ladyfurahia

Nakupatia Chocs...

Eti Ba Mkwee haka nako ka Mrembo by Nature ni kabinti kako?

Achana na huyu Mrembo by Nature ni wangu...weka mbali na majicho yako!!!:smokin:
 
Last edited by a moderator:
Umefanikiwa kuwasiliana na @zahra white kiboko ya vicheche?
 
wewe ulifikiri mm ni mzima mm ni kipande bwana niliyenyooka nikiwekwa kidigitali nakwenda kama mziki wa rhumba na nikiwekwa pembeni wewe utanitaka haaa haaaa haaaaaa mentor nilimpeleka milembe kutibiwa na alipopona akaniambukiza mm nami natarajia anipeleke milembe next week upo hapo sasa kuna uzima hapo best hakyunaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
SIO MZIMA WEWE!
hakyamama tena!
 
Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu!@
MPUUZE ujue ukikimbizana na klichaa mtaani watu wakiulizwa watasema tuliwaona vichaa wawili wanakimbizana mtaani, mmoja amevaa nguo zake vizuri na mwingine alikuwa yuko uchi. Potezeya mkuu
 
nimewapata kwelikweli yaani fikra zenu mnafikiri ndoa tu haaaaaaaaaaaaa kwaaaaa kwaaaaaaaaaaa ni chitchat tu hapa kwa kwenda mbele

Wewe ndio unafikiria ndoa tu, siku si nyingi ulikuwa unatafuta mwanaume! Hata sasa mpaka wajicHuria kuwa umeolewa na mtu kicheche mpaka umeshazoea kuwa cheated on!! na kwamba vits tu inatosha kurudisha thamani ya penzi lako kwa huyo kicheche wako!! Ukakana kwa nguvu zote eti sio chit chat mpaka malumbano ya kuanzisha ugomvi juu ya hilo!! You must be desperate loh!!

Kwa thread yako na responses zako zote nadhani angalau moja kati ya haya ni kweli;

i) uuu mdogo sana kimawazo na upeo kama sio na umri (upo form six kama sio chuo labda kama hata umeingia darasani)..! (highly immature),
ii) kuna uhaba wa hali ya juu ya wanaume wenye haiba nzuri kwenye maisha yako, either kati ya family and friends au wanaokutongozaga,
iii) kipato chako ni hongo-driven, yaani sio mtu wa kujishughulisha ujiingizie kipato rasmi kama sehemu kubwa ya kipato chako.
iv) unapenda majivuno sana, kwa wadada wenzio, na hasa attention yao wakuone upo juu na mwenye vizuri kuliko yeyote yule.
v) umezoea sana mazingira ya kugombea mabwana kama sio kuiba waume au mabwana za watu. Na pia mazingira ya uswahilini, kusutana, kurushiana vijembe, alimradi tu kuwe na hekaheka za maneno na majigambo.
iv) Huna ustaarabu wa maisha ya kutumia mitandao ya kijamii (si ajabu hata gadgets zinazotumika!! huna uzoefu nazo sana pia) kwa hiyo unafanya kufuja alimradi na wewe umetumia.

Ni mtazamo tu, kunaweza kuwa na sababu nyingine zaidi pia, lakini angalau moja ya hizo hapo kama sio zote, ni kweli juu ya huyu mtoa mada isiyoeleweka "substance over form".

Sent from my BlackBerry 9810 using JamiiForums
 
Mimi aunt yenu, baba yenu ni kaka yangu mtoto wa babu yangu aliyekuwa kaka wa babu yangu mzaa baba.Ungependa nini ili niwaandalie? ila umwambie baba yako na mama yako wasisahau kuniletea zawadi

mhhh!!sawa aunt
mie tuandalie chochote
ila kiwe kingi hahaaa!!
 
Back
Top Bottom