Jamani mwenye uwezo amsaidie huyu dada tafadhali

Jamani mwenye uwezo amsaidie huyu dada tafadhali

KingKipara

Member
Joined
Aug 14, 2014
Posts
19
Reaction score
1
Habari wana janmvi
natumaini hatujambo, poleni kwa mnaojisikia vibaya na wale wenzangu ambao sikukuu imeawaacha vibaya!


Lakini wakati huo sisi tunapendeza, tunakula vizuri na kuenjoy huku mtaani wengine hawana hizo furaha kabisa!

Kuna Dada mmoja ambae amekuwa akinisumbua siku nyingi kuhusu kumtafutia Kazi japo Hata za ndani, nimejitahidi lakini nimechemka kabisa kutokana kwamba na mi nimeajiriwa afu Niko bize mno na uwezo wa kumwajiri sina ni binti wa makamo tu miaka 19.

anakaa kwa Dada yake wa hiari lakini ana manyanyaso makubwa kama mnavojua baadhi ya roho za raia wasio na huruma na wenzao

Hivo basi anaomba Kazi yoyote kwa anaeweza kumwajiri anadai Kazi yoyote atafanya mfano. Kazi za ndani, Duka, Usafi maofisini, hotel, ama Kazi nyingine yoyote kwa malipo halali yuko Dsm Tabata,

Mawasiliano ya kumpata: 0714138846

"NAOMBA KUWASILISHA HOJA"
 
Anakaa na dada yake wa hiari lkn ana manyanyaso!!!kweli binadamu hatunashukurani...
 
Anakaa na dada yake wa hiari lkn ana manyanyaso!!!kweli binadamu hatunashukurani...
 
Miaka 19 ameisha kuwa mkubwa kwa kazi za ndani, labda atakuja kunigombanisha na mke wangu
Ila weka picha yake.
 
Unafahamu kuwa sharia ya kimataifa child labour is illegal?
 
kwanini kwahiyo unashukuru tu Hata kama unanyanyasika ?
kajitolea kukaa naye japo yeye anaona ananyanyasika...hana ndugu,kama ananyanyasika kwa nini asiende kukaa kwa ndugu au hata kwako wewe anayekwambia ananyanyasika!!
 
ushamtafuna na kumdanganya utamtafutia kazi,wabongo tunavyojua kutumia matatizo ya wenzetu kujinufaisha
 
Back
Top Bottom