Jamani mwenye uwezo amsaidie huyu dada tafadhali

Jamani mwenye uwezo amsaidie huyu dada tafadhali

Mie npo bara, anaweza kuja huku nikimhitaji?
 
ushamtafuna na kumdanganya utamtafutia kazi,wabongo tunavyojua kutumia matatizo ya wenzetu kujinufaisha

No research no right to speak. Msiwe wepesi wa kuhukumu hivi ninyi binadamu mkoje lakini?? Au wewe ndo zako?
 
No research no right to speak. Msiwe wepesi wa kuhukumu hivi ninyi binadamu mkoje lakini?? Au wewe ndo zako?

mara nyingi watu wenye matatizo wanatumiwa sana, angalia ombaomba na wengine wenye matatizo kama hayo, unamkuta mdada mremavu ana vitoto anaomba msaada, unajiuliza pamoja na kutojiweza huyu kwa nini ana watoto wengi kias hiki, binadamu ni shida
 
Back
Top Bottom