Jamani mpenzi wangu hajapata siku zake mwezi saa, inawezekana ana mimba au?

Kukosa MP haina maana mwanamke ni mjamzito, kuna dalili nyingine za awali...

Lakini kwa kuwa umepita mwezi tangu alipotaraji kuona MP yake, ni vyema mkapima ujauzito...

Nenda duka la dawa, nunua kipimia ujauzito kwa njia ya mkojo, tumia mkojo wa asubuhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…