chidy said
Member
- Oct 20, 2019
- 62
- 119
jamani habari za saa hizi mpenzi wangu hajapata siku zake mwezi sasa hivi ina wezekana ana mimba au?
Vyuo vinafunguliwa, zipo busy na maandilizi ya kwenda chuo kuongeza weledijamani habari za saa hizi mpenzi wangu hajapata siku zake mwezi saa hv ina wezekana ana mimba au
2 weeks na kiendelea ila hasa wiki ya 3 na kuendeleapregnancy test baada ya mda gani inaanza kudetect?
7wks3wks
Bas wengine damu ziko rahis kuspot aise7wks
Kwanini wampa pole angali watu wanakaa miaka 10+ plus wanasali wapate mtoto.Pole sana mwana kulitafuta
In case kama ni mwanafunzKwanini wampa pole angali watu wanakaa miaka 10+ plus wanasali wapate mtoto.