Jamani mpenzi wangu hajapata siku zake mwezi saa, inawezekana ana mimba au?

Kukosa MP haina maana mwanamke ni mjamzito, kuna dalili nyingine za awali...

Lakini kwa kuwa umepita mwezi tangu alipotaraji kuona MP yake, ni vyema mkapima ujauzito...

Nenda duka la dawa, nunua kipimia ujauzito kwa njia ya mkojo, tumia mkojo wa asubuhi
 
kitu kimejibu hicho.

Kikubwa tusikimbie majukumu mzee mwenzanguu
IMG_20191027_132224_193.jpeg
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom