Jamani, kwani lazima?

kajinga hako nilikachukia toka mwanzoni
Pole sanaaa, kwa mtazamo wako unafikiri ni kwa nini Paulina alikuwa anahangaika kutafuta mtoto ilihali akijua kuwa hawana uwezo wa kupata mtoto?
 
Pole sanaaa, kwa mtazamo wako unafikiri ni kwa nini Paulina alikuwa anahangaika kutafuta mtoto ilihali akijua kuwa hawana uwezo wa kupata mtoto?

kwan hapo nani aliyekuwa na tatizo ni mozie au paulina
 
kwan hapo nani aliyekuwa na tatizo ni mozie au paulina
Kwa mujibu wa stori inaonyesha wote walikuwa na shida laiti kama moze angekuwa hana tatzo angetafuta mtoto sehem nyingine
 
Kwa mujibu wa stori inaonyesha wote walikuwa na shida laiti kama moze angekuwa hana tatzo angetafuta mtoto sehem nyingine

kwaio wanatatizo kama la baba riziki na mkewe
 
Duh!kali ya mwaka hii.daudi1 ulihisia ukweli kua mtoto anaeza asiwe wa Mozie.mtoto mwarabuu.haya tusubiri kisa kinachofwata.maana bado kuna loose ends kibao.
 
duuuuuuuuuuuuuuuh wadaku wengi........., nimenogewa nikajifanya namsimulia jamaa hapa ofisin, kumbe naye yupo bana...,
 
Dah! mkuu sorry sijaweka toka ijumaa network ya tigo ilikuwa mbovu hivyo nikashindwa ila nimeweka zote mbili endele kupata uhondo
Poa mkuu nimeshaona. Ha haaa,ila Stella katisha,me nilishahisi km mozie ana tatizo la uzazi ndo maana Paulina alikuwa akihangaika. Lkn mkuu Daudi1 ina maana mozie huu usiku aliolala kwa Paulina hakupiga mzigo kweli!? Maana Paulina alionekana toka mapema joto lipo juu!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…