Maganga Mkweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 2,089
- 829
ndugu unatumia antena ya kawaida au dish maana mie nimescan nimepata hizo channel unazosema ila zinazoonyesha ni zile 11 za awali .. au kuna namna nyingine msaada hapa..kadiri umavyozidi kuchat zinashika chanel nyingi
leo setanta africa inaonesha,,dunai sports,dubai one,stv kungfu,guide,wale wa na zile 11 za awali zipo kama kawaida,,za dini zipo kama 30,,ikiwemo atn 1 and 2,
kuhusu kuscrach unaweza ukaset antena yako ya nje mfano wa hizo za startimes zinavypkuwa
na hao wanaosema ni uongo waache waseme wakati sisi tunakula uhondo.