white wizard
JF-Expert Member
- May 18, 2011
- 8,321
- 13,288
<br />I agree with Ngabu, there is an element of freakishness in his elaborate championship! This goes out to few others like Semenyi, Michael Johnson and some weirdos in long distance races. It's true that they do work extremely hard to get there, but people like Tyson Gale, Assafa Powell, Alto Boldon, etc prove champions out of sheer training and endurance as opposed to morphological chances and adaptation seen in athletes like Bolt or Semenyi. Of course, I can be proved wrong, this is just my thought.
Ama kweli jamaa ni noma sana, mi namkubali tangu mwaka 2007 kule beijing alikwapua medali 3 za dhahabu za mbio fupi: mita 100, mita 200, mita 400. ni balaa! mi pia mshabiki wake namba moja big up Bolt!
<br /><font size="4"><span style="font-family: book antiqua">Wana JF, <br />
<br />
Last two week Jumapili mmoja wali mtoa Usain Bolt kwenye mashindano ati alichomoka kabla ya mlio wa bastora ila watu wali maind sana ila juzi tena ndio akawaonyeshea kuwa yeye ndie yeye peke yake hakuna mwinine hawa jamaaa wana kula mazoezi usipaime walisha peleka vyombo vya habari kwenda kumchunguza kule esp Aljazeera wali mhoji wakakuta wanapiga mazoezi kama kawa na ni very hard.<br />
<br />
Hapa kwetu na wanariadha wetu hawajitoi muhanga kufanya mazoezi walianzia chini hao wakina Bolt hakuwa na jina sasa kwetu iweje nasi tusianzie chini, Majuzi hapa Gerlad Hando wa PB Clouds FM alisema kuna mburu yuko Marekani alichukuliwa huku akiwa mdogo alionyesha kipaji cha kukimbia na sasa anakimbilia kwa bendera ya America jamani kweli vipaji vinapotea kuana matatizo kwenye swala la uongozi nchi hii<br />
</span></font>