Jamani huyu Usain Bolt mbona hivi?

white wizard

JF-Expert Member
May 18, 2011
8,277
13,212
Jamani katika watu ambao wamewahi kutokea ktk dunia hii kwenye mchezo wa riadha huyu jamaa ni noma! kwanini kila mala akikimbia lazima aweke record yake?

Kama juzi kwenye mbio amewaacha wenzake mbali sana,na ninakubaliana na wale watu wanaosema kwa sasa ndiye binadamu anayekimbia sana ktk dunia hii,na ndiye aliyempa Christiano Ronaldo uwezo wa kukimbia na mpira kiasi kile, kwa vile ni shabiki wa MAN UTD, na siku moja alisema atamuomba SIR, ALEX, ampange uwanjani.

Na hata ktk mbio za mita 100,ambazo jamaa alitolewa kwenye mashindano kwa kuanza kukimbia kabla ya filimbi kupigwa,watu walisema mengi jamaa ndio zake kuanza mbio kabla hajaruhusiwa. Sasa hapa tena watasema nini?Naombeni wanariadha wa tz mmfuate jamaa huyu, kwani ana mapafu mangapi?

Ana miguu mirefu kiasi ganiTUACHE VISINGIZIO KILA KUKICHA,Mkiwa mnaondoka ooh tumejiandaa vya kutosha ,mnaposhindwa ohoo,hatukuwa na maandalizi ya kutosha!tatizo la nchi hii siasa zimeshaharibu kila nyanja.
 
Usain Bolt ni mtaalamu na anatambua umuhimu wa kazi yake; anajituma na wakati mwingi akiwa kwao Jamaica huwa anafanya mazoezi bila kukumbushwa au kutegemea msaada wowote, ni mtu wa aina yake kwakweli
 
I agree with Ngabu, there is an element of freakishness in his elaborate championship! This goes out to few others like Semenyi, Michael Johnson and some weirdos in long distance races. It's true that they do work extremely hard to get there, but people like Tyson Gale, Assafa Powell, Alto Boldon, etc prove champions out of sheer training and endurance as opposed to morphological chances and adaptation seen in athletes like Bolt or Semenyi. Of course, I can be proved wrong, this is just my thought.
 
Kwa kweli huyu jamaa kwa sasa ni nouma. Na atatawala hizo mbio fupi kwa kipindi kirefu sana, na nadhani atavunja rekodi zaidi, labda akose wapinzani wa kumsukuma. Nadhani rekodi zake zitadumu kwa muda mrefu sana.
Ule urefu unamsaidia sana. Mtu ukiwa mrefu halafu una kasi, wafupi watasoma namba tu. Kwa kweli hata Mimi namvulia kofia.
Way to go Bolt, soon you'll be a legend.
 
Ama kweli jamaa ni noma sana, mi namkubali tangu mwaka 2007 kule beijing alikwapua medali 3 za dhahabu za mbio fupi: mita 100, mita 200, mita 400. ni balaa! mi pia mshabiki wake namba moja big up Bolt!
 
I agree with Ngabu, there is an element of freakishness in his elaborate championship! This goes out to few others like Semenyi, Michael Johnson and some weirdos in long distance races. It's true that they do work extremely hard to get there, but people like Tyson Gale, Assafa Powell, Alto Boldon, etc prove champions out of sheer training and endurance as opposed to morphological chances and adaptation seen in athletes like Bolt or Semenyi. Of course, I can be proved wrong, this is just my thought.
<br />
<br />
you mean michael johnson or ben johnson a.k.a big ben?
 
Wana JF,

Last two week Jumapili mmoja wali mtoa Usain Bolt kwenye mashindano ati alichomoka kabla ya mlio wa bastora ila watu wali maind sana ila juzi tena ndio akawaonyeshea kuwa yeye ndie yeye peke yake hakuna mwinine hawa jamaaa wana kula mazoezi usipaime walisha peleka vyombo vya habari kwenda kumchunguza kule esp Aljazeera wali mhoji wakakuta wanapiga mazoezi kama kawa na ni very hard.

Hapa kwetu na wanariadha wetu hawajitoi muhanga kufanya mazoezi walianzia chini hao wakina Bolt hakuwa na jina sasa kwetu iweje nasi tusianzie chini, Majuzi hapa Gerlad Hando wa PB Clouds FM alisema kuna mburu yuko Marekani alichukuliwa huku akiwa mdogo alionyesha kipaji cha kukimbia na sasa anakimbilia kwa bendera ya America jamani kweli vipaji vinapotea kuana matatizo kwenye swala la uongozi nchi hii
 
Ama kweli jamaa ni noma sana, mi namkubali tangu mwaka 2007 kule beijing alikwapua medali 3 za dhahabu za mbio fupi: mita 100, mita 200, mita 400. ni balaa! mi pia mshabiki wake namba moja big up Bolt!

Nadhani hapo kwenye red ilitakiwa iwe 100X4
 
<font size="4"><span style="font-family: book antiqua">Wana JF, <br />
<br />
Last two week Jumapili mmoja wali mtoa Usain Bolt kwenye mashindano ati alichomoka kabla ya mlio wa bastora ila watu wali maind sana ila juzi tena ndio akawaonyeshea kuwa yeye ndie yeye peke yake hakuna mwinine hawa jamaaa wana kula mazoezi usipaime walisha peleka vyombo vya habari kwenda kumchunguza kule esp Aljazeera wali mhoji wakakuta wanapiga mazoezi kama kawa na ni very hard.<br />
<br />
Hapa kwetu na wanariadha wetu hawajitoi muhanga kufanya mazoezi walianzia chini hao wakina Bolt hakuwa na jina sasa kwetu iweje nasi tusianzie chini, Majuzi hapa Gerlad Hando wa PB Clouds FM alisema kuna mburu yuko Marekani alichukuliwa huku akiwa mdogo alionyesha kipaji cha kukimbia na sasa anakimbilia kwa bendera ya America jamani kweli vipaji vinapotea kuana matatizo kwenye swala la uongozi nchi hii<br />
</span></font>
<br />
<br />
kwa hiyo bolt na ndugu yake mary nagu..
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom