TUKUTUKU
JF-Expert Member
- Sep 14, 2010
- 11,765
- 4,033
Ukiona inauma ujue ujumbe umefika.
****!!!
Ukiona inauma ujue ujumbe umefika.
DEMU anasoma chuo cha Mipango pale Dom, ni mwenyeji wa Mbeya mwenye maskini Pwani alitongozwa na jamaa mmoja wa mjini, jamaa alikuwa na mipango mingi na huyo nyapu, kumbe Rita wala hakuwa na habari na jamaa, wakakaa na kunywa na kuongea mambo mengi kuhusu maisha, mshikaji akasema amepata mtu mzuri wa kupanga naye maisha... loh Kumbe Rita wala hana mipango na jamaa,akasema kesho yake anaanza mitihani, wakaachana jamaa akarudi mjini.
Kukawa na mawasiliano kati yao siku nyingine jamaa akatimba Dom si akawasiliana na Rita wake, akahakikishiwa kuwa watakutana, kila akipiga simu anaambiwa subiri, subiri mwishowe ikawa shubiri, usiku Rita hakuwa akipokea cm tena alikuwa akila starehe na Mbunge mmoja mtu mzima. Jamaa alipokuja kupeleleza akajuta kwanini alimfahamu Rita, mpaka leo hii analalamika kwa kupotezewa muda na Rita, tena anasema Jamani huyu Rita ni mswahili anadai kuwa kwanini asingechomolea tangu siku ya kwanza?
Hapo JF ndiyo inapopoteza maana,mtu anakurupuka anaandika chochote anachotaka,mkuu hapa hata ukikesha uwezi kuelewa kitu!!.............................,,,,,,,,,,.................sijui nikwambieje maana sijaelewa kitu hapo...
DEMU anasoma chuo cha Mipango pale Dom, ni mwenyeji wa Mbeya mwenye maskini Pwani alitongozwa na jamaa mmoja wa mjini, jamaa alikuwa na mipango mingi na huyo nyapu, kumbe Rita wala hakuwa na habari na jamaa, wakakaa na kunywa na kuongea mambo mengi kuhusu maisha, mshikaji akasema amepata mtu mzuri wa kupanga naye maisha... loh Kumbe Rita wala hana mipango na jamaa,akasema kesho yake anaanza mitihani, wakaachana jamaa akarudi mjini.
Kukawa na mawasiliano kati yao siku nyingine jamaa akatimba Dom si akawasiliana na Rita wake, akahakikishiwa kuwa watakutana, kila akipiga simu anaambiwa subiri, subiri mwishowe ikawa shubiri, usiku Rita hakuwa akipokea cm tena alikuwa akila starehe na Mbunge mmoja mtu mzima. Jamaa alipokuja kupeleleza akajuta kwanini alimfahamu Rita, mpaka leo hii analalamika kwa kupotezewa muda na Rita, tena anasema Jamani huyu Rita ni mswahili anadai kuwa kwanini asingechomolea tangu siku ya kwanza?
DEMU anasoma chuo cha Mipango pale Dom, ni mwenyeji wa Mbeya mwenye maskini Pwani alitongozwa na jamaa mmoja wa mjini, jamaa alikuwa na mipango mingi na huyo nyapu, kumbe Rita wala hakuwa na habari na jamaa, wakakaa na kunywa na kuongea mambo mengi kuhusu maisha, mshikaji akasema amepata mtu mzuri wa kupanga naye maisha... loh Kumbe Rita wala hana mipango na jamaa,akasema kesho yake anaanza mitihani, wakaachana jamaa akarudi mjini.
Kukawa na mawasiliano kati yao siku nyingine jamaa akatimba Dom si akawasiliana na Rita wake, akahakikishiwa kuwa watakutana, kila akipiga simu anaambiwa subiri, subiri mwishowe ikawa shubiri, usiku Rita hakuwa akipokea cm tena alikuwa akila starehe na Mbunge mmoja mtu mzima. Jamaa alipokuja kupeleleza akajuta kwanini alimfahamu Rita, mpaka leo hii analalamika kwa kupotezewa muda na Rita, tena anasema Jamani huyu Rita ni mswahili anadai kuwa kwanini asingechomolea tangu siku ya kwanza?
DEMU anasoma chuo cha Mipango pale Dom, ni mwenyeji wa Mbeya mwenye maskini Pwani alitongozwa na jamaa mmoja wa mjini, jamaa alikuwa na mipango mingi na huyo nyapu, kumbe Rita wala hakuwa na habari na jamaa, wakakaa na kunywa na kuongea mambo mengi kuhusu maisha, mshikaji akasema amepata mtu mzuri wa kupanga naye maisha... loh Kumbe Rita wala hana mipango na jamaa,akasema kesho yake anaanza mitihani, wakaachana jamaa akarudi mjini.
Kukawa na mawasiliano kati yao siku nyingine jamaa akatimba Dom si akawasiliana na Rita wake, akahakikishiwa kuwa watakutana, kila akipiga simu anaambiwa subiri, subiri mwishowe ikawa shubiri, usiku Rita hakuwa akipokea cm tena alikuwa akila starehe na Mbunge mmoja mtu mzima. Jamaa alipokuja kupeleleza akajuta kwanini alimfahamu Rita, mpaka leo hii analalamika kwa kupotezewa muda na Rita, tena anasema Jamani huyu Rita ni mswahili anadai kuwa kwanini asingechomolea tangu siku ya kwanza?
Ukiona inauma ujue ujumbe umefika.
Hapo JF ndiyo inapopoteza maana,mtu anakurupuka anaandika chochote anachotaka,mkuu hapa hata ukikesha uwezi kuelewa kitu!!
Kama siyo Rita ni huyo rafiki ambaye kwanza miye nilimuona ni mshamba kwa kulalamikia demu wakati angetakiwa kuachana naye tu.kwani yeye ni RITA
MchelePumba...
siyo system, TIMING = failuresimba mkali = system failure
And thats da gold digger thing,she gains at your loss. Am afraid if you were da victim[/QUOTE Sikia mkuu kama miye kwanini nisiseme, nimeandika mangapi ya wazi ambayo mengine yananihusu humu JF kwanza nisingelalamika, nimeshapigwa kibuti mara ngapi, nijifiche JF ananijua nani?
siogopi ushauri mkuukama ni wewe si useme tu upatiwe ushauri!
#*****!
Kwa nini unapenda kuhukumu watu, nani kakutukana? nani mvamizi?Moderator unaninyima haki yangu ya msingi ya kuona andishi la tusi nililotukanwa na watu waliovamia JF kwa nia ya kuvunja heshima kubwa JF iliyojijengea kwa muda mrefu!
Hapo kwenye nyekunduShame upon you!JF siyo jukwakaa la majungu!