Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
laba alumelu...
laba alumelu...
Wanaangali...mazishi ya Balali....teh teh teh Hiyo Position ya TV yao sio nzuri inawafanya wanyanyue shingo kitaalam haishauriwi.....
wanaangali...mazishi ya balali....teh teh teh hiyo position ya tv yao sio nzuri inawafanya wanyanyue shingo kitaalam haishauriwi.....
Edit basi uandike "Labda Alumelu" yaani umeiandika kitoto kweli kweli "laba alumelu" hahahahaha mhamhamhaaa
Arumeru.hv ni Alumelu au Arumelu
Hivi mkuu wetu wa kaya anapata muda wa kukusanya timu yake na mamaaa namba 1 au sofa hazitatosha?
mhh mpana wewe....naomba nije chumban kwako siku moja niangalie position ya tv yako:smile-big: