Jamani hizi kondomu zitatuua.......,daaaaaaaah

Jamani hizi kondomu zitatuua.......,daaaaaaaah

Sio ulokole Dr.Mo, ni kuelezana ukweli kuwa swala la ngono zembe limekuwa tishio! Hamna anayeshambuliwa hapa ila kama ulivyosema, tuwe waangalifu, sio kuvua boxers kila tunapoona chupi!

Hii itapunguza matumizi ya condom za promotion
 
Last edited by a moderator:
jaman humu ndani nimegundua watu wengi ni wanafiki wanapenda kuonekana wasafi namaanisha hawatendi dhambi wapole wanajifanya kukemea kumbe wao ndio no moja kwa uchafu.tumwogope mungu wapendwa yeye ndiye mwenye hekima ,anayesamehe na anaye jua ukweli na uongo.HESHIMU MAWAZO YA MWENZIO NA SIO KUTOA LUGHA ZA KEJELI NA UZANDIKI
 
Back
Top Bottom