Jamani hizi kondomu zitatuua.......,daaaaaaaah

Jamani hizi kondomu zitatuua.......,daaaaaaaah

twafa-kali

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2012
Posts
251
Reaction score
211
Ndugu wadau kuna kisa cha ukweli kimemkuta rafiki yangu..,juzi kati hapa baada ya mahangaiko ya kutafuta ridhiki akaaamua kupoteza muda kidogo kwa kupata moja barid moja moto pale kona bar(huyu jamaa anafanya kazi kwenye taasisi moja iliyopo jirani na hapo)....,na pia ilikuwa ni njia ya kusubiri foleni zipungue kidogo ndo asepe maskani kwake..,sasa akiwa hapo akawa tempted na dada poa mmoja...,akaona si hatari bhana.....,si almradi kucheza salama...,hao wakachukuana mpaka kunako guest zilizopo jirani.,kufika hapo akalipia chumba na akapewa kondomu 2 pieces(anavyodai yeye).sasa shughuli ikaanza na ile kwenda mishindo miwili kondomu ikapasuka..,akavua ile akidhani alikwenda kwa rafu kidogo na kubadili nyingine....,but the same happened ikapasuka nayo while he was so gentle in performance(according to him).jamaa ananiambia this time happened while he already finished......,

note ; 1.kitu nilichojifunza jamani tusitumie kondomu hizi za promotion zinazotolewa kwny hizi guest wasiwasi
2.ikiwezekana tuwe tunatembea na kondomu zetu ambazo tunaziamini viwango..,kwan it can happen that una mzigo tayari na in that particular place no genuine condoms available
3. Jamani baba riziwan hebu tafuta dawa ya hili tatizo sugu la foleni..,coz without it probably jamaa yangu asingeingia kwenye hilo janga
 
Hivi hatuwezi kutawala fikra zetu eh! Au hatuna majukumu yanayosumbua akili zetu? Yani dk tano mtu anavua boxer kwa stranger!..
 
ivi mbona watanzania wanafki sana.......mbona tunajidai walokole sana.....mimi Napata kesi kila siku za magonjwa ya ngono and related conditions...na hapa watu wana-acy as if malaika sana.....ujumbe wa jama ni kwamba watu tuwe waangalifu...na si kumshambulia.....ngono watu tunafanya sana....tuache ULOKOLE wa uongo.....wabongo tubadilike
 
ivi mbona watanzania wanafki sana.......mbona tunajidai walokole sana.....mimi Napata kesi kila siku za magonjwa ya ngono and related conditions...na hapa watu wana-acy as if malaika sana.....ujumbe wa jama ni kwamba watu tuwe waangalifu...na si kumshambulia.....ngono watu tunafanya sana....tuache ULOKOLE wa uongo.....wabongo tubadilike

Sio ulokole Dr.Mo, ni kuelezana ukweli kuwa swala la ngono zembe limekuwa tishio! Hamna anayeshambuliwa hapa ila kama ulivyosema, tuwe waangalifu, sio kuvua boxers kila tunapoona chupi!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: apk
me nashindwa kjua ni zipi condom za nguv na nzuri kabisa ambazo hazipasuki ovyo yaani imara kidogo,,
Maana hata hzo za kununua nazo hvo hvo asee,,
NAOMBA MSAADA WA STRONG TYPES,,,
MASHARITI YOTE YANZINGATIWA SANA TU
 
me nashindwa kjua ni zipi condom za nguv na nzuri kabisa ambazo hazipasuki ovyo yaani imara kidogo,,
Maana hata hzo za kununua nazo hvo hvo asee,,
NAOMBA MSAADA WA STRONG TYPES,,,
MASHARITI YOTE YANZINGATIWA SANA TU

Kwa experience yangu, Salama Studs condom ziko poa na sio Dume, wala 3 Bomba.
 
Mhhh hebu tumuulize nabii...
Nabii vipi mbona haurudi???
Hiki kizaz kishakuwa janga...haya na kwa hili nalo tulaumu foleni...watu mnajiendekeza mno....
 
basi vaa kabisa kondom unapoenda kazini...kizazi cha zinaa loh!
 
mwana kulitafuta mwana kulipata........ kwani angekunywa na akaishia ingekuwaje bila kukodolea macho hao dada poa? hicho ndicho kilompeleka huko? kwahiyo folenii ndio itakayo mlipa dada poa au yeye? jamani watu wengine kwakupenda
chali halafu hawakosi sababu.............mwambie kila siku aende tena akipewa mbili aongeze na mfuko wa rambo juu afunge fundo..........
 
Back
Top Bottom