trachomatis
JF-Expert Member
- Jun 7, 2011
- 3,758
- 736
George Galloway anapatikana kwenye TV moja ya Iran inayoitwa Press TV. Anachambua siasa za kimataifa.Anaweka mada mfano Libya,au Somalia n.k. unaruhusiwa kupiga simu (reverse call) unatoa mchango wako naye anafafanua.Nauliza wanazuoni wa humu JF mnauonaje weledi wake?