Jamani haya ndio maswali kutoka mtaala mpya?.

Jamani haya ndio maswali kutoka mtaala mpya?.

mbozimbozi kumwitu

Senior Member
Joined
Mar 8, 2025
Posts
158
Reaction score
187
Kwa elimu yetu ya kibongo na shule zetu za st kayumba ambazo mara nyingi ukute shule Haina mabechi ya kutosha,mara madarasa hayatoshi,mara wazazi wachangie Hera za mitihani na kuanda report sijui km mtoto wa darasa la kwanza anaweza kujibu swali Hilo hapo.
 

Attachments

  • IMG_20250529_144912_465.jpg
    IMG_20250529_144912_465.jpg
    173.1 KB · Views: 21
Back
Top Bottom