Jamani fuatilieni inasemekana katika majimbo 47 yaliyotangazwa inaonekana Kikwete wa kwanza, Lipumba wa pili na Slaa wa tatu!! I doubt I really doubt, I was one among the wakala's na Slaa na Kikwete ndo walikuwa wanachuana vibaya sana
Kikwete 1584543 (66%)
Dr. Slaa 469409 (21%)
Prof. Lipumba 200514 ()
Good Bye AND Good Riddance