Vocal Fremitus
JF-Expert Member
- Oct 20, 2016
- 1,353
- 6,981
- Thread starter
-
- #161
Ishu za kujitambulisha anasema tusubiri kwanza mpaka akishapata chumba na furniture..Ishu ni kukaa pamoja? Basi mjaribu mwambie unataka ukienda kujitambulisha utoe na mahari kabisa mmalize. Uone atasemaje.
Ila kwa uzoefu mdogo tu, hapo kaka huyo mwanamke hakupendi yupo kwako kimsalahi tu, kuna mtu mwingine ambae ndo anampenda na wana future pamoja.
Dear yaan comment fupi ila ni kali mnooo, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Piga chini
Huyu simpangii chumba. Maoni ya wadau ntayazingatia. Nampiga chini fasta!Hahaha kwa kuwa umekuwa kuwa bwege mpangishie rum ili wahuni tuje tumle kirahisi
Naona unamkoki muhun ajichanganye kama shabani Kaoneka acha hizo buanaaMkuu kama kweli unampenda demu wake we fanya tu kile anachokwambia, jitundulize umpangie chumba mixer kumnunulia funiture na vitu vingine vya ndani ili aweze kujinafasi coz hio itanogesha penzi lenu maana itakuwa rahisi kwa nyie kuonana.
Usiogope bana, Si unajua Hawa wanawake ukitaka kuwa nao lazima ujiandae kugharamia, everything is all about risk taking.
Piga chini brother, narudia tena, PIGA CHINI.Ishu za kujitambulisha anasema tusubiri kwanza mpaka akishapata chumba na furniture..
Sasa ntamsubiri mpaka lini na mm umri unazidi kusonga. Nampiga chini tu. Kama ipo ipo tuHataki kuolewa mwenzio,. Wee tafuta anaetaka kuolewa, otherwise msubiri had atakapotaka yeye [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ishi humu mzee. Mwamba kamaliza kila kitu.Wanawake wa siku hizi mostly ni Omba Omba hata kama angekua na kazi ya uhakika nakwambia ungeumbwa tu.
Naona huna shida kwenye kutoa pesaa shida unaiona kwa manzi kugoma kuishi na wewe.
Yani usizunguke sana Mzee,Hamna mwanamke hapo kakupendea vi cent vyako.
Mpangie chumba uone utamgonga mara 1 tu kwenye hicho chumba baada ya hapo atamleta mdogo ake (hata wa kufake) kufika kwake ndio sahau tena.
Mtaendelea kukutana mnapokutania siku zingine.. Jiongeze acha ulofa Wanawake wote hawa na wewe!
Kwake wapi sasa? Kwake si ndo kwako then kunakua kwenu?Anasema yupo tayari kwa ndoa lkn mpaka akiwa na kwake.
Anhaaa basi sawa😅 sina neno lingine la kuongeza😅Anasema yupo tayari kwa ndoa lkn mpaka akiwa na kwake.
Ila unataka upangiee chumba, uwekewe furniture, upewe hela ya nauli, kula, kusuka, kila kitu etieAnaekupenda bhna wengne tu hatupendi kuolewa kabsaa ila kupenda tuna fall kabsa shida inakuja pale unaponiambia uniweke ndani uwiiiiiiiiiiiii!!!!! Sitaki kbs
Na akishapata hivyo anakunwaga mazimaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shtukaaa nawee lolIshu za kujitambulisha anasema tusubiri kwanza mpaka akishapata chumba na furniture..
I only gave him a positive adviceNaona unamkoki muhun ajichanganye kama shabani Kaoneka acha hizo buanaa
Kuna wakuu ni majasiri sanaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787].miezi mitatu tuuuuHuruma itakuponza. Sehemu za kutumia akili, usitumie hisia.
Mawazo yako ndio sahihi, kama wote mnania ya dhati ya kuwa pamoja.
Kama hataki uende kwao kujitambulisha, basi atulie.
Ila mkuu,demu umejuana nae miezi mitatu tu, tayari ushataka kwenda kujulikana kwao? Mbona kama unajivika bomu?
Sasa kinachonisikitisha ninapompa taarifa za kuvunja uhusiano analalamika na kunilaumu nimemchezea na kumpotezea mda. Wkt in reality yeye ndio naona anataka kunipotezea mda sasa...Wanawake wa siku hizi mostly ni Omba Omba hata kama angekua na kazi ya uhakika nakwambia ungeumbwa tu.
Naona huna shida kwenye kutoa pesaa shida unaiona kwa manzi kugoma kuishi na wewe.
Yani usizunguke sana Mzee,Hamna mwanamke hapo kakupendea vi cent vyako.
Mpangie chumba uone utamgonga mara 1 tu kwenye hicho chumba baada ya hapo atamleta mdogo ake (hata wa kufake) kufika kwake ndio sahau tena.
Mtaendelea kukutana mnapokutania siku zingine.. Jiongeze acha ulofa Wanawake wote hawa na wewe!
Wee nae jiongezee, muambie hivi ni sawaa nakupangia chumba na furnitures, ila nataka nkajitambulishe kwenu na nitoe mahari ili uwe mke wangu halali. Akikataaa wee chapaa labaa na usigeuke nyumaaaSasa ntamsubiri mpaka lini na mm umri unazidi kusonga. Nampiga chini tu. Kama ipo ipo tu
Analalamika nimempotezea mda na kumchezeaPiga chini brother, narudia tena, PIGA CHINI.
Huyo demu hakupendi, ana msela wake wa malengo wewe anakupa papuchi kisela huku aki enjoy pesa zako. Utakuja pigwa na kitu kizito kichwani mzee baba. Labda kama kugonga uendelee kugonga kisela tuu.
Thats a stupid advice, mwanamke akimfanyia hayo unayomshauri atazidi kumuona stupidI only gave him a positive advice
Hiki nenoo "pisi kali"limeliza wengiiimkuu huyu mtoto ni pisi na nusu na kuna vigezo vyangu (kimuonekano na tabia kidogo) amevikamilisha. Nilikua nataka nijitambulishe kwao ili nisije kumkosa. Lakini amenikatisha tamaa kabisa.
Mwanamke anayeambiwa hayo ndio kwanza ana miaka 21Wee name jiongezee, muambie hivi ni sawaa nakupangia chumba na furnitures, ila nataka nkajitambulishe kwenu na nitoe mahari ili uwe mke wangu halali. Akikataaa wee chapaa labaa na usigeuke nyumaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app