Jamani hapa kuna mapenzi kweli?

huyo mwanamke unampenda na amejua unampenda, fyn si vibaya kumpenda mwanamke unaetaka kujabkuishi nae, swala linakuja hapo eti yeye bado hajapanga kuishi na mwanaume sasahivi, so anafurahia kuzini tu..
.
.
sasa umemchezea vipi sasa, maana wewe unataka usimchezee lakni yeye anakomaa mbaki kuchezeana..
.
.
huyo kuna kitu anakuficha, kama sio anamtu mwingine sijui, inawezekana kuna mtu anampenda ila hana uwezo wa kumhudumia,
.
.
akutambulishe kwa wazazi wake, hataki bro weka ndimu mdomoni nyosha goti, achana na huyo mwanamke, anza mahusiano kisisiri siri na mwanamke mwingine, taratiibu anza kumpotezea, unaanza kuacha kumtafuta siku nzima, baadae siku mbili, baadae wiki baadae mwezi, akikuambia humtafuti mwambie sikuhiz kaz zimekuwa ngumu... then kaoe pengine, maisha haya ni mafupi kutapanya pesa kwa mtu asie na malengo
 
Sasa kinachonisikitisha ninapompa taarifa za kuvunja uhusiano analalamika na kunilaumu nimemchezea na kumpotezea mda. Wkt in reality yeye ndio naona anataka kunipotezea mda sasa...

Unadhani atafurahi!? Ni kawaida ya wanawake kulalamika, suala liko wazi hapo…..uanaume ni pamoja na maamuzi magumu ya kulinda territory na heshima yako.
 

Ushauri mzuri huu kwa wenye mioyo soft ushauri wa kufaa huu kwa jamaa,eti anasema manzi king’ang’anizi,anajitafutia sababu ya kuendelea nae.
 
Piga chini CCM huyo na matozo yake, yeye anaomba kwa wiki si chini ya elfu 80 ×4= 320,000 inamaana unampa pesa zaidi ya mshahara wake, sasa hapo si bora umuweke ndani, na anataka umpangie chumba na umnunulie vitu ? Wanawake baadhi wajinga sana kwanini asiwaambie wazazi wake wamfanyie hivyo vitu au kaka zake, huyo mwanamke ana jiuza na hakupendi, lakini ndiyo Dada zetu awa na wana wapata misukule ya kuwafanyia mahitaji kama hayo aliyokuomba.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…