Jamani eti ni kweli kumfanyia mtoto birthday ni agano?

Bongotunacheza

JF-Expert Member
Dec 7, 2018
718
1,643
Watu wanasema ukimfanyia mtoto birthday hasa kuanzia akiwa mdogo ni agano. Unatakiwa uendelee hivyo hivyo kila mwaka mpaka atakapo ingia kaburini au wewe utakapo ingia kaburini. .. usipo mfanyia hata mwaka mmoja ( hasa hasa akiwa bado mdogo anasoma) inaweza kumuathiri kisaikolojia pakubwa sana kiasi cha kutikisa hata future yake .

Je kuna ukweli wowote kuhusu hilo.

N.b: hii inawahusu hata wapenzi na wake . Ukianza utaratibu wa kumfanyia birthday mpenzi wako inabidi uendelee hivyo hivyo kila mwaka. Siku ukiacha italeta tabu kwako kwa sababu ataihusisha n.a. wewe kumchoka kima penzi
 
🤣🤣🤣🤣 ndo agano lenyewe analo zungumzia mtoa mada
Ni ujinga na kupoteza muda na resources.
Kwanin uhangaike sijui kufanya masherehe?
Pika wali mkubwa, kaa na mwanao, mwambie tu ukweli kua sasa ameanza kukua so apunguze mambo ya kijinga.
Atakuheshim zaidi kuliko kuanza kuwasha mamishumaa ya kiwaki.
Haya malezi ya kizungu ndo yanaleta watoto walaini laini.
Zamani birthday ilikua jando au unyago. Na inakua na maana muhimu sana kwenye maisha ya mtoto.
Tuache ku-copy mambo ya kizungu
 
Ni ujinga na kupoteza muda na resources.
Kwanin uhangaike sijui kufanya masherehe?
Pika wali mkubwa, kaa na mwanao, mwambie tu ukweli kua sasa ameanza kukua so apunguze mambo ya kijinga.
Atakuheshim zaidi kuliko kuanza kuwasha mamishumaa ya kiwaki.
Haya malezi ya kizungu ndo yanaleta watoto walaini laini.
Zamani birthday ilikua jando au unyago. Na inakua na maana muhimu sana kwenye maisha ya mtoto.
Tuache ku-copy mambo ya kizungu
Nakazia
 
Back
Top Bottom