Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,745
Ivi kwanini wanaume mnakuaga na tamaa, unamke, watoto wawili kwani uyo atakayekuzalia n gold au, wanaume jitambueni acheni tamaa
Aya tutaanza kujitambua ila umecomment kwa hisia kali jaribu kusoma uzi then ukitulia ndo uje ukoment ..Nashukuru