Duh......nadhani haujanielewa kabisa KING' daughter......cjaanza kumsaliti na wala cna mpango wa kumtupa jamani hebu nielewe
ndoa ngumu jamani khah!!!
donate sperm tu usijali
Sasa naamini kuwa ule ushauri wa matatibu waliobobea kuwa ulaji wa kiti moto una madhara makubwa kwa afya ya binaadamu kuliko faida, una mantiki kubwa. Yaani anajifaharisha kwa upuuzi huo wa zinaa na kukubali kushare na jamii!!!!
Hz ndoa cku hz ni fashen tu haingii akilin mtu mzima kuomba ushaur wa ujinga mungu atuongoze angalau tuwe na aibu
ha ha ha ha haki za watoto mwanamke na DNA zitakuhusuTena haraka si ametaka na kuomba yeye mwenyewe... maana nyie wanawake sikuhizi wasumbufu.
ha ha ha ha haki za watoto mwanamke na DNA zitakuhusu
hahahah.. Acha znihusu ila wakati huo nishambinjua na kinda nimepata