ah ah ah pole my dia hata jana nilikuwa pale,thats the real meaning of entertainment dear,kama unataka raha na starehe si ungekaa kwako?but ol in ol tunapenda kukaa a watu na kujumuika na starehe zaidi inakuja sehem ambazo si officail kiivyo mfano bar/gesti za vichochoroni,etc
This is a good one! jes need pipoz thinking in here, but if u were there yestday and u enjoyd then ur one of those who dont know wat entertainment means
jamani mi naomba watu kama wanaanzisha vitu/starehe hapa dar wawe wabunifu na kufikiria wakifanyacho, talking about the khanga moja thing, jamani hao wanawake ni vumbi, wachafu, wanakalisha watu mpaka saa 6 na nusu bila entertainment yeyote, sehemu haina viti, ndogo, congested! Damn it, wanajamii wenzangu ambao mshawahi kuhudhuria naombeni mtoe changamoto kuhusu hili, nanyi ambao hamjawahi kufika tafadhali dont waste your time there!
Ebwana umejuaje? yaani unakuwa kama kaka kuona!