kifaru 1
Member
- Oct 21, 2013
- 28
- 4
Unapeleka nyaraka zinakaguliwa unazndikiwa ukalipie bank ! Baada ya kulipia na kukata risiti unapeleka nyaraka na hapo ndo utakoma maana utaambiwa njoo baadaya siku saba ukienda utaambiea kesho kutwa hapo utazunhushwa hata mwezi then unarudishiwa nyaraka zako eti umekosea kaanze upya ! Jirekebisheni ama tuwataje humu!