Niliomba leseni,nikaambatanisha vitambulisho vya mkurugenzi
jamaa likasema linataka saini ya mkurugenzi
Nikamuuliza hivi fomu za bakhresa au Ipp ana saini mengi mwenyewe
Hii ni kazi yangu na ofisi imenipa mamlaka kea barua hii,jamaa likanuna,likapoteza file langu,nikajaza upya nikamwambiahili likipotea bosi wako Kakwezi atalitafuta kwa mikono yake