Jamani askari tuliostaafu tunaomba Rais Magufuli utukumbuke pensheni bado, hali ni ngumu mtaani huku

Huyo Wala sio mstaafu, ameleta hii stori kupima hasira za watu. Wadau mnamwaga povu balaa.
Na povu linawatoka kweli kweli...watu wapo bze wanatoka povu kweli kweli kwa story za kutunga...na hili ndio tatzo la social media mtu yoyote anaweza kuamka akajitungia story na watu bila ht kufanya uchunguzi wa dk 2 kujiridhisha na credibility ya habari husika wakaanza kuchangia kwa mihemko yote.
Tumekua victims wa habari za kutunga ktk social media...
 
Maisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.

Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.

Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.
Pambaneni na hali zenu.Mabwawa ya umeme yanajengwa.Ndege zimenunuliwa.Hamuoni kazi inafanywa?
 
Maisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.

Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.

Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.
Na ninyi pia?
Wenzenu wa EAC hawajalipwa miezi kadhaa zinabaki ngonjera za uhakiki kama vile hawajulikani
 
Pole Sana serikali inabidi iwape haki yenu, I wonder pia wengine wanaotoa kejeli kwenye swala sensitive hivi
Hakuna kejeli hapo isipokuwa tu ni somo la kujifunza kwamba tusjjisahau sana kwenye nafasi zetu. Na kwamba what goes around comes around.
 
Back
Top Bottom