Na povu linawatoka kweli kweli...watu wapo bze wanatoka povu kweli kweli kwa story za kutunga...na hili ndio tatzo la social media mtu yoyote anaweza kuamka akajitungia story na watu bila ht kufanya uchunguzi wa dk 2 kujiridhisha na credibility ya habari husika wakaanza kuchangia kwa mihemko yote.Huyo Wala sio mstaafu, ameleta hii stori kupima hasira za watu. Wadau mnamwaga povu balaa.
Hakuna wakati mgumu kwa mwanaume kama pale unaposhindwa kumpa hela mkeo ukijua kabisa kuwa ndio mwanzo wa team fisi kuanza mbinu za kumpiga spoku!!!🤣🤣🤣Mwanaume ukishindwa provide unatamani kufa hapohapo. Pole mjomba.
Kha!kha!.Wasamehe tu mkuu.Chama changu CHAUMA kikiingia madarakani oktoba mwaka huu nitamdhauri rais wangu Kaka Rungwe maaskari waliohusika na mauaji ya Pemba 2001 wahasiwe
Kha!,kha!,nimecheka balaa.Labda Askari wa Malawi. Lkn Hawa POLICCM. hata Kama hajapata mshahara akiona bendera ya CCM korodani zinapwita
umekua mwerevu baada ya kustaafu? Shame on you pambana na hali yakoNitakaa kimya kama ww na wenzio ndio wamiliki halali wa nchi hii kama mnavyojigamba, tumeshakuwa werevu msifikiri kila mtu ni zezeta uchawi wenu ume expire
kwa upumbavu wanaotufanyia acha tumuandame mpaka afe kwa pressureWatu wamemuandama afande hakuna hata faraja!
Waambie wajiajiri hao wazee wetu kama mabosi wao wa ccm wanavyotwambia !!!majibu ya kipumbavu kabisa haya!
Kumbuka hawa ni wazee wetu wamestaafu wakiwa na umri wa miaka 60 acha kebehi mpuuzi wewe!
Na atakufa bila kupata chochote !!!! Mwambie viongozi wa ccm wamefilisi mifuko ya hifadhi ya jamii!!! Watu wamestaafu miaka miwili hawana chochote sio monthly pay wala lampsum!!! Hiyo awalaumu aliokua anawalindakwa upumbavu wanaotufanyia acha tumuandame mpaka afe kwa pressure
mimi na mmalizia kumuua kabisa ndio nakunywa soda vizuriMimi hata nikute poti anakufa na njaa ndio kwanza naagiza soda ninywe!
Pambaneni na hali zenu.Mabwawa ya umeme yanajengwa.Ndege zimenunuliwa.Hamuoni kazi inafanywa?Maisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.
Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.
Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.
Na ninyi pia?Maisha tunayo yaishi mtaani ni magumu sana, tuna muda tumestaafu NAULI ZETU za kurudi majumbani hatujapewa, Pensheni hatujalipwa, basi tupeni pensheni ya kila mwezi jamani tuna aibika na familia zetu huku mtaani hapafai, hatuna biashara, basi tupeni nauli turudi majumbani kwetu tuhangaike na Kilimo huko.
Kweli mtu ukae mwaka na zaidi mshahara ulikata siku nyingi tu baada ya kumaliza likizo ya pensheni, pensheni hutujapewa na nauli hatuja pewa tunaishije mfano.
Tuonee huruma jamani. kama mambo ya uchaguzi ndio pesa imetumika sana huko sisi hatuhusiki huko mtuonee huruma.
Wewe soda tu mkuu? Mimi nawanunulia mabarmeid bia tatu tatu, kongoro, na mishkaki miwilimiwili kaunta atapata faru Jon. Poti sio watu mtu wangu.Mimi hata nikute poti anakufa na njaa ndio kwanza naagiza soda ninywe!
swala ni pensheni tulipwe, kwan michango yetu iko wapi? basi tupewe nauli ambayo ni haki yetu basi
Hakuna kejeli hapo isipokuwa tu ni somo la kujifunza kwamba tusjjisahau sana kwenye nafasi zetu. Na kwamba what goes around comes around.Pole Sana serikali inabidi iwape haki yenu, I wonder pia wengine wanaotoa kejeli kwenye swala sensitive hivi