Jamani ananisingizia, mimi siku………………….!!

Jamani ananisingizia, mimi siku………………….!!

doctorz

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2010
Posts
916
Reaction score
230
Nilikuwa chuo wakati ninaishi na uncle wangu O’Bay. Uncle alikuwa na binti mmoja tu aitwae Jaquillin na alikuwa mkubwa kwangu na anafanya kazi Tanesco. Untie alikuwa amefariki.
Siku moja alikuja rafiki yake Jaquilin toka Shinyanga aitwae Roda kwa siku chache. Wote walikuwa wana lala chumba kimoja. Asubuhi walipokuwa wana andaa breakfast, walikuwa hawajui kuwa nawasikia, Jaquilin akamu uliza Roda, Umelala wapi jana? Roda akajibu; Nilikuwa kwa Mike nikimfundisha kufanya project yake ya college. Wote wakacheka sana.
Jaquiline akaenda zake kazini

Mara akaja rafiki yake Roda aitwae Pili. Walikuwa hawjui kuwa mimi sikuenda college, Waka anza kuzungumza juu ya Uncle kuwa wana muonea huruma toka afiwe na mkewe. Lakini Roda akasema kuwa jana yake alikuwa amemfariji usiku kucha na kutokana na hali ilivyo atarudia tena kwani alikuwa fresh.

Nika udhika sana kwa nini alinisingizia kuwa alikuwa na mimi kumbe alikuwa na uncle.

Juzi tena nika kumbushwa kuhusu siku huyo Roda aliponifundisha project. Kwa nini ananisingizia….!!!!!!!????
Nisaidieni.
 
sasa siuseme ukweli,hakuna kingine kitachokuweka huru ila ukweli
 
Kweli ni kwamba sipendi huko kusingiziwa. Bora ingekuwa kweli.
 
Wewe Kongosho kama ukizibiwa riziki kwa kusingiziwa uta react namna gani!!!
 
Nilikuwa chuo wakati ninaishi na uncle wangu O’Bay. Uncle alikuwa na binti mmoja tu aitwae Jaquillin na alikuwa mkubwa kwangu na anafanya kazi Tanesco. Untie alikuwa amefariki.
Siku moja alikuja rafiki yake Jaquilin toka Shinyanga aitwae Roda kwa siku chache. Wote walikuwa wana lala chumba kimoja. Asubuhi walipokuwa wana andaa breakfast, walikuwa hawajui kuwa nawasikia, Jaquilin akamu uliza Roda, Umelala wapi jana? Roda akajibu; Nilikuwa kwa Mike nikimfundisha kufanya project yake ya college. Wote wakacheka sana.
Jaquiline akaenda zake kazini

Mara akaja rafiki yake Roda aitwae Pili. Walikuwa hawjui kuwa mimi sikuenda college, Waka anza kuzungumza juu ya Uncle kuwa wana muonea huruma toka afiwe na mkewe. Lakini Roda akasema kuwa jana yake alikuwa amemfariji usiku kucha na kutokana na hali ilivyo atarudia tena kwani alikuwa fresh.

Nika udhika sana kwa nini alinisingizia kuwa alikuwa na mimi kumbe alikuwa na uncle.

Juzi tena nika kumbushwa kuhusu siku huyo Roda aliponifundisha project. Kwa nini ananisingizia….!!!!!!!????
Nisaidieni.

kwa hiyo wewe ndo Mike? Kama jibu ni ndio kwa nini usisemw ukweli?
 
Hahahahahhaha!
Unatamanije ungekuwa kweli!!,
Pole,mwite huyo mdada uongee naye mwambie hupendi kusingiziwa ebo!
 
Mike is a factious name. I am a muslim and I have an islamic name. RR You are hiiinig a ZERO.
 
he he he, wewe popobawa,
ntauvuta huo mkia niung'oe
kwani nimekufanyaje jamani!?

Mie namfundisha mike kula bila kutaja jina
na bila mjomba kujua
wala binamu yake asijue

mwanzodoa
POPOBAWA anaunga mkono hoja .......
 
bwana mike vipi mkuu unachelewa chelewa? unatuangusha mpwa
 
he he he, nimemsingizia nani nini?
Swirry, wee wa kusema haya??
Utaumiza mtima wangu
Darlin...yaani hayo maujiko niliyikupa hapo huwez yapata sehemu nyingine,,ninunulie kwanza kijoti niendelee kuburudika ili nipate nguvu ya kuanza kutoa maelezo,!
 
Back
Top Bottom