Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,940
- 110,416
Fresh,jana nilitaka kuvishwa pete nikachomoa
Mmmh...hebu nimegee kidogo hiyo storeeee!!
Fresh,jana nilitaka kuvishwa pete nikachomoa
Shauri yako utalamba hadi migono vigutu yenye ukoma au iliyotoka kuchamba nyuchi...
Dr.....kwani hapa kuna nini.......?
Kuna mkaka mmoja analalamika anachunwa na mdada, sasa maumivu ya kuchunwa yamezidi...anauliza afanyeje?
Huyo mkaka ni mwanaume........au ni mvulana tu wa kawaida.......?
nenda msoma ukapewe kozi ya kuishi na mademu, kule ukimpa afu akakurushia hela usoni! Anatandikwa had anaikota mwenyewe then anaitumbukiza mfukoni mwako mwenyewe.....tehe tehe teheeee sometime unfair actions help
Ndugu wadau utakuta mtu una girl friend wako...,na haujawahi hata cku moja kum-dissapoint ktk mahitaji yake esp financially.,sasa inatokea cku hauko vizur na anahitaj letsay elfu30..,na ww unampoza kw maneno mazuri kuwa hauko safi cku hiyo na unampa elfu10 ambayo unayo..,loh.....,unashangaa unatupiwa uson hako ka elfu kumi....,na anasema `yaani hiyo ndo hela ya kumpa yy..,kama hautaki basi.,`na cm ukimpigia hataipokea hata wiki mpaka hapo utakapomtosheleza hitaji lake..,vp wadau imekaa vizuri kweli hii?
mahusiaono ya siku hizi ni hatari,mimi sikuwa kumwomba hela boyfriend wangu,ambae sasa ni mme wangu,yaani hata sasa hivi yaani huwa simwombi,kwanza sipendi kuomba kuomba,ila napenda kuombwa,nahisi labda nina element za kiume
kweli mimi nakuambia,yaani sijui naanzaje kuomba,eti sijjui naomba hela,hata hela ya pempers siombi,hadi huwa najiona labda mimi ndo babamuongo ww!
mahusiaono ya siku hizi ni hatari,mimi sikuwa kumwomba hela boyfriend wangu,ambae sasa ni mme wangu,yaani hata sasa hivi yaani huwa simwombi,kwanza sipendi kuomba kuomba,ila napenda kuombwa,nahisi labda nina element za kiume
mimi siachiki,tulishaapa Mbele za Mungu,kifo peke yake ndo kitatutenganishaBi mdada una umri gani? In case ukiachika, nitafute pliiiiiiiiiiiz!!! :mwaaah:
mimi siachiki,tulishaapa Mbele za Mungu,kifo peke yake ndo kitatutenganisha