cacico
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 8,362
- 7,797
hubby umenigongea 'like' ya 3333, mwahhhh! we r indeed soul mates! ,mwahhhhhhhubby siku hizi nakusoma kwa taabu sana, lolest!
hubby umenigongea 'like' ya 3333, mwahhhh! we r indeed soul mates! ,mwahhhhhhhubby siku hizi nakusoma kwa taabu sana, lolest!
Kuweka msisitizo na ya 3334 nimekukong'olia tena. Napoamua kupenda huwa sifanyagi masihara. hata nikikufumania sikuachi wallah.... Mmwaaa!hubby umenigongea 'like' ya 3333, mwahhhh! we r indeed soul mates! ,mwahhhhhh
Naona itakuwa imenasa Magomeni Mapipa. Naisubiri mpaka ifike.Tayari switiii
kesi ya kunguru ukampe mwewe!! tutapangiana zamu ya kukaa na wewe hm! lol, huendi kokote, mwahh!Kuweka msisitizo na ya 3334 nimekukong'olia tena. Napoamua kupenda huwa sifanyagi masihara. hata nikikufumania sikuachi wallah.... Mmwaaa!
Ukitoka nihifadhi hapa, wakware wasije kukuibia mali zako. waambie kabisa na Yummy na BADILI TABIA bila kumsahau Kongosho asali ya ODM
Naona itakuwa imenasa Magomeni Mapipa. Naisubiri mpaka ifike.
Knock! Knock! Guess who is knocking??..... Kamata mrija meeeen!!:laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh::laugh: twende lunch basi na weye
Oh! Lucky day!Nami naona amenigongea ya 1000 khaaaaa haya mapenzi kweli moto moto si kise...e
Senkyuuu Asprin mwaaaaah
Hahahahaha............. Khaaa!kesi ya kunguru ukampe mwewe!! tutapangiana zamu ya kukaa na wewe hm! lol, huendi kokote, mwahh!
Wananichokoza honey. Nami sipendi uchokozi. Nyie mwanitosha sijui wananitakia nini? Mwone kama huyu...
haswa charminglady hiki kibabu kimezidi full kuchakachua halafu leo kina kitumbo utafikiri kimetoka kule kwenye mataputapu.yan Asprin na wakeze wamechakachuaring my thread. . . nafungua kesi hakyanan!!!!!!
haswa charminglady hiki kibabu kimezidi full kuchakachua halafu leo kina kitumbo utafikiri kimetoka kule kwenye mataputapu.