Elon J
JF-Expert Member
- Sep 30, 2022
- 630
- 1,846
Jaman kama Kuna mtu ana shamba au eneo lenye nyumba au mabanda maeneo ya Kibaha, Mlandizi au sehemu yoyote karbu na Dar na anahitaji mtu wa kukaa au mlinzi naomba anisaidie lengo langu nataka niwepo hapo hku nikiendelea na shughuli zangu za kufuga kuku.
NB: Hakuta kuwa na malipo yoyote means ntakuwa nakaa kama mlizi huku nashughulika na shughuli zangu za kufuga.🙏
NB: Hakuta kuwa na malipo yoyote means ntakuwa nakaa kama mlizi huku nashughulika na shughuli zangu za kufuga.🙏