Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 46,997
- 39,794
Ulitoa hzo namba ukitegemea nn? Alikuona we una sura ya k fatak, au uliziomba ww unazuga hapa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sasa dunia imeishaje hapo mkuu....ulimpa namba ya simu ya nini? au wew ni mwalimu wa tuition? watch out mkuu,c kila mtu town wakupewa phone number..
leo asubuh nikiwa natoka kariakoo c nikapanda daladala na katoto ambacho nahic kina miaka kama kumi na nne hiv.tulikuwa tumekaa siti moja baada ya kufika manzese mtoto kwa uwoga c akaniomba namba ya cm nami kweli nikampa! Sasa jion hii nipo geto c kakapiga! Eti kaka mi nimekupenda ghafla naomba tuwe wapenz! Jaman maomben ushaur nimeathirika kisaikolojia.
leo asubuh nikiwa natoka kariakoo c nikapanda daladala na katoto ambacho nahic kina miaka kama kumi na nne hiv.tulikuwa tumekaa siti moja baada ya kufika manzese mtoto kwa uwoga c akaniomba namba ya cm nami kweli nikampa! Sasa jion hii nipo geto c kakapiga! Eti kaka mi nimekupenda ghafla naomba tuwe wapenz! Jaman maomben ushaur nimeathirika kisaikolojia.
Ushauri wa kisaikolojia wa kupigiwa simu hatuna. Ukiwekwa jela na kesi ya kubemenda, ama ukiambukizwa miwaya urudi hapa tukushauri how to rest in pieces.
physics teacher chuo kipi?
leo asubuh nikiwa natoka kariakoo c nikapanda daladala na katoto ambacho nahic kina miaka kama kumi na nne hiv.tulikuwa tumekaa siti moja baada ya kufika manzese mtoto kwa uwoga c akaniomba namba ya cm nami kweli nikampa! Sasa jion hii nipo geto c kakapiga! Eti kaka mi nimekupenda ghafla naomba tuwe wapenz! Jaman maomben ushaur nimeathirika kisaikolojia.
Sekondari form 3, alikuwa kamaliza sijui UDSM
ulisema chuo...
Rudia post mkulu, nilisema katoka chuo!!! Yaani yeye ticha ndo alikuwa kamaliza chuo ndo kaajiriwa. Manake bila kukwambia kama enzi za huu ni UFA----------? Wanafunzi wanamalizia GIO! Tutakesha
leo asubuh nikiwa natoka kariakoo c nikapanda daladala na katoto ambacho nahic kina miaka kama kumi na nne hiv.tulikuwa tumekaa siti moja baada ya kufika manzese mtoto kwa uwoga c akaniomba namba ya cm nami kweli nikampa! Sasa jion hii nipo geto c kakapiga! Eti kaka mi nimekupenda ghafla naomba tuwe wapenz! Jaman maomben ushaur nimeathirika kisaikolojia.