Tony Laurent
JF-Expert Member
- Jan 5, 2011
- 4,726
- 5,442
I think she needs Spiritual counseling. Help her get one
leo asubuh nikiwa natoka kariakoo c nikapanda daladala na katoto ambacho nahic kina miaka kama kumi na nne hiv.tulikuwa tumekaa siti moja baada ya kufika manzese mtoto kwa uwoga c akaniomba namba ya cm nami kweli nikampa! Sasa jion hii nipo geto c kakapiga! Eti kaka mi nimekupenda ghafla naomba tuwe wapenz! Jaman maomben ushaur nimeathirika kisaikolojia.
Baada ya mda watu watakushudia upo sehem ambapo juu kuna picha ya Nyerere na picha ya rais huku ukisikia sauti "miaka 30 jela kw kubaka katoto" af ikimaliziwa na NYUNDO ya hakimu mkazi kisutu. "Paaaaaa.....!"
Hapo huyo keshatoka unyagoni, anataka kupractise. Ni utoto tu akikua ataacha. Dawa we kaambie hata wewe umekapendaga kajitulize, kasome sana, kakimaliza chuo UTAKAWOWAGA!!!!!!!!!!!! LOL! Katasomaje. Hata mimi i had a crush kwa my physics teacher (Alikua katoka chuo anawakaje sasa!!!), akaniambia nikimaliza chuo nimtafute if i still love him! Hahahhaaaaa! Balehe mbaya sana.
leo asubuh nikiwa natoka kariakoo c nikapanda daladala na katoto ambacho nahic kina miaka kama kumi na nne hiv.tulikuwa tumekaa siti moja baada ya kufika manzese mtoto kwa uwoga c akaniomba namba ya cm nami kweli nikampa! Sasa jion hii nipo geto c kakapiga! Eti kaka mi nimekupenda ghafla naomba tuwe wapenz! Jaman maomben ushaur nimeathirika kisaikolojia.
Nyimamadogookumanga