maganjwa
JF-Expert Member
- Sep 11, 2012
- 2,810
- 2,357
Hakika, fisadi ni mzigo kwa watz, lakini naamini Mungu ni mwema Dr.Makufuri atashinda kwa kishindo.
je mungu mnayemhubiri ccm ni yupi? je ni yule aliye hai? kama huyo hawez kuwa upande wenu mana yey haki na adhama hukaa kwake nyiny mmewadhulumu watanzania na amesikia kilio chao mwaka huu lazima muondoke madarakan.