DEO mtiifu
Member
- Apr 3, 2026
- 96
- 223
Facebook account yake imehackiwa, analog in kama kawaida, ila mesenja kuna huyo mpuuzi anawatumia watu sms vibaya mnooo yaani kila siku sms sizisopungua 20 kuhusiana na masuala ya betting, tukiangalia kwenye setting "where you log in" inaonesha jamaa yupo vietnam,.
Jamaa yangu anatumia 0ppo83,akijaribu kulog out au kurecover au kubadili password inamkatalia eti haimtambui, tufanyeje mtu anakwenda kudhalilika huko Maana lijamaa limetoa hadi profile picture iliyokuwepo.
Jamaa yangu anatumia 0ppo83,akijaribu kulog out au kurecover au kubadili password inamkatalia eti haimtambui, tufanyeje mtu anakwenda kudhalilika huko Maana lijamaa limetoa hadi profile picture iliyokuwepo.