kingxvi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 879
- 150
huyu jamaa tulijuana kipindi tupo A-level pale tabora boys kwa sababu wote tulikuwa vichwa sana darasani,matokeo ya form six wote tulipata division one ya point 3 na tulipata scholarship za kuja Germany ila jamaa akasema yeye anakomaa udsm.matokeo yake leo nimekutana naye analalama anadai bora hata asingesoma kwani amemaliza na g.p.a mbovu sana hata masters hawezi kusoma sababu ya chuki binafsi za ma professor wa pale.ananionea wivu mimi nipo nasoma zangu masterz now sweden