Haaa haaa ni kama miaka kumi unahangaika na barabara yakuingia kwakoKuoa single mothers ni sawa na kujenga kwenye kiwanja cha mgogoro. Pole
SIMAMISHA UJENZI




😂😂 Braza hutaki shemeji?Asikudanganye huyu![]()
Mmefikia wapiNi single mother wa mtoto mmoja, jamaa anamfuatilia sana akitaka warudiane lakini mke wangu amekataa kabisa ila jamaa hakati tamaa. Alimtelekeza toka akiwa na mimba miaka mitano imepita ndio amerudi na kuanza kumsumbua huyu mke wangu.
Mimi kazi zangu ni za kusafiri kwahiyo muda mwingine nakuwa sipo nyumbani, hata baada ya mke wangu mimi kuzaa naye watoto jamaa bado tu hakomi
Nifanyeje?
YalaaaaaaaSantee santeeee ahsanteee
😘😘😘
😂😂😂😂 Sitaki ufe nitabaki mpweke..ubaki hapo hapo
Wapi umetoswa MupenziNimetoswa... 🙄🙄🙄🙄🙄
Naunga mkono hoja.Tafuta nyuzi zote humu zinazohusu single mother zisome kwa makini, kisha njoo tukushauri
Naona Kuna mtu anapewa attention zaidi.. Ila wivu Sina ila Sasa karoho kanaumaaa...Si Unajua wewe ndiye Khumbu wangu???Wapi umetoswa Mupenzi
😂😂Naona Kuna mtu anapewa attention zaidi.. Ila wivu Sina ila Sasa karoho kanaumaaa...Si Unajua wewe ndiye Khumbu wangu???
Morning Love... Hope you had a wonderful night..😂😂
Good morning
Yes Mupenzi..uwe na siku njema yenye baraka tele..Damu ya Yesu ikifunike mpendwa wangu.Morning Love... Hope you had a wonderful night..
Sure.Kuna tiss mmoja alianza kumlia misele wife.baada ya mm nami kukusanya na kujiridhisha na intelijensia zangu za khtosha Nika deal na wife kisha nikampandia hewan mshkaji nikamchana live na nikamchimba mkwara mzito.Akajaga later ku appology na uhusiano ukaishia hapo.Fala sana yule mjinga ..nikaamin kwel kule wamejaa makada tuMchimbe mkwara 😎 akirudia tena kamfungulie RB umpe kesi
Amin ngoja nipambane tupate mkate wa Kila siku. Tule tupate nguvu jioni tukung'ute siafu kisawasawa🤣🤣🤣🤣Yes Mupenzi..uwe na siku njema yenye baraka tele..Damu ya Yesu ikifunike mpendwa wangu.
Mshauri mke wako amkubalie jamaaNi single mother wa mtoto mmoja, jamaa anamfuatilia sana akitaka warudiane lakini mke wangu amekataa kabisa ila jamaa hakati tamaa. Alimtelekeza toka akiwa na mimba miaka mitano imepita ndio amerudi na kuanza kumsumbua huyu mke wangu.
Mimi kazi zangu ni za kusafiri kwahiyo muda mwingine nakuwa sipo nyumbani, hata baada ya mke wangu mimi kuzaa naye watoto jamaa bado tu hakomi
Nifanyeje?